Wakili afafanua kuhusu kesi ya Halima Mdee na wenzake 18, wanaruhusiwa kurudi Mahakamani

Wakili afafanua kuhusu kesi ya Halima Mdee na wenzake 18, wanaruhusiwa kurudi Mahakamani

BigTall

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
525
Reaction score
1,257
Kuna hili andiko nimelikuta kwa mdau wa sheria anaitwa Na Bashir Yakub ambaye ni WAKILI

=============

Maombi ama Kesi inaweza kutupwa na Mahakama kwa namna moja kati ya mbili.

Inaweza kutupwa katika namna ambayo huwezi kuirudisha tena/kuifungua upya, ama inaweza kutupwa katika namna ambayo unaweza kuirudisha tena/ kuifungua upya.

Kutupwa katika namna ambayo unaweza kuirudisha tena kitaalam huitwa "STRIKE OUT", wakati ile ambayo huwezi kuirudisha tena hutwa kitaalam "DISMISSAL".

Kesi ya wakina Mdee imetupwa katika namna ambayo inaweza kurudishwa tena/kufunguliwa upya "STRIKE OUT".

STRIKE OUT maana yake kuna kitu kimekosewa ambacho kikirekebishwa kesi inarudishwa/kufunguliwa upya.

Maana yake kesi ya msingi ya uhalali wao bungeni haikusikilizwa hata kidogo, bali Mahakama imesikiliza makosa ya kiufundi na ikaamue iitupe kabla ya kusikiliza kesi ya msingi ili wahusika wakayarekebishe hayo makosa wairudishe tena ama waachane nayo, uamuzi ni wao.

Aghalabu, namna ya kuirudisha ni kuwa kama umejiandaa inaweza kutupwa na muda huohuo hata kabla watu hawajatoka Mahakamani au wakingali bado wanashangilia ukairudisha kwa kufungua nyingine hapohapo.

Ni kurekebisha tu makosa na kuanza upya.

Isipokuwa yale mazuio unayokuwa umepata yanakufa na ile iliyotupwa na hivyo huu muda wa katikati ambao hujafungua nyingine unakuwa haupo salama kwa kuwa huna zuio lolote linalokulinda na hivyo lolote laweza kufanyika dhidi yako.

La kufanya ufungue upya haraka na uombe zuio jingine jipya haraka kabla hujapata madhara ya kutokuwa na zuio.

Kwa msingi huu si ajabu kusikia kesi hii iko Mahakamani upya.

Basi waandishi watusaidie kuwa wanaripoti ilivyo fasaha.

Na Bashir Yakub, WAKILI.
+255 714 047 241.
 
Yakubu anataka ulaji tu, kesi ishafurushwa hiyo wasipoteze muda wa mahakama.
 
Napata mashaka na huu muda mfupi uliopo toka jana mahakama ilipoamua kuhusu kutupilia mbali hoja zao, mpaka pale Spika wa bunge atakapolitangazia bunge uamuzi wake leo, naona hapo ndipo kina Mdee wanaweza kushirikiana na Tulia kurudisha kesi nyingine mahakamani.

Inawezekana walishachati jana usiku ili leo Tulia akienda mahakamani tayari awe na majibu, huu mchezo wa kihuni endapo utatokea, inatakiwa ipigwe kura ya kutokuwa na imani na Spika, hata kama wabunge wengi ni CCM potelea mbali.
 
Na kweli huenda imefanyika hivyo maana ninawaona hapa bungeni wabunge hao 19 na wameuliza maswali bungeni muda huu kipindi cha maswali bungeni
 
Na kweli huenda imefanyika hivyo maana ninawaona hapa bungeni wabunge hao 19 na wameuliza maswali bungeni muda huu kipindi cha maswali bungeni
Tusubiri tuone
 
Kuna hili andiko nimelikuta kwa mdau wa sheria anaitwa Na Bashir Yakub ambaye ni WAKILI

=============

Maombi ama Kesi inaweza kutupwa na Mahakama kwa namna moja kati ya mbili.

Inaweza kutupwa katika namna ambayo huwezi kuirudisha tena/kuifungua upya, ama inaweza kutupwa katika namna ambayo unaweza kuirudisha tena/ kuifungua upya.

Kutupwa katika namna ambayo unaweza kuirudisha tena kitaalam huitwa "STRIKE OUT", wakati ile ambayo huwezi kuirudisha tena hutwa kitaalam "DISMISSAL".

Kesi ya wakina Mdee imetupwa katika namna ambayo inaweza kurudishwa tena/kufunguliwa upya "STRIKE OUT".

STRIKE OUT maana yake kuna kitu kimekosewa ambacho kikirekebishwa kesi inarudishwa/kufunguliwa upya.

Maana yake kesi ya msingi ya uhalali wao bungeni haikusikilizwa hata kidogo, bali Mahakama imesikiliza makosa ya kiufundi na ikaamue iitupe kabla ya kusikiliza kesi ya msingi ili wahusika wakayarekebishe hayo makosa wairudishe tena ama waachane nayo, uamuzi ni wao.

Aghalabu, namna ya kuirudisha ni kuwa kama umejiandaa inaweza kutupwa na muda huohuo hata kabla watu hawajatoka Mahakamani au wakingali bado wanashangilia ukairudisha kwa kufungua nyingine hapohapo.

Ni kurekebisha tu makosa na kuanza upya.

Isipokuwa yale mazuio unayokuwa umepata yanakufa na ile iliyotupwa na hivyo huu muda wa katikati ambao hujafungua nyingine unakuwa haupo salama kwa kuwa huna zuio lolote linalokulinda na hivyo lolote laweza kufanyika dhidi yako.

La kufanya ufungue upya haraka na uombe zuio jingine jipya haraka kabla hujapata madhara ya kutokuwa na zuio.

Kwa msingi huu si ajabu kusikia kesi hii iko Mahakamani upya.

Basi waandishi watusaidie kuwa wanaripoti ilivyo fasaha.

Na Bashir Yakub, WAKILI.
+255 714 047 241.
Vile vile yawez kufurushwa kwa vile kesi haina maslahi kwa Dola.
 
Waachwee jamani mtaani kugumu
 
Wale wameomba judicial review na mahakama imesema CHADEMA sio public body Bali private entity. Sasa utarudije kufungua kesi mpya wakati msingi wa kesi yako ni batili.
Itabidi watafute public body instead
 
Kuna hili andiko nimelikuta kwa mdau wa sheria anaitwa Na Bashir Yakub ambaye ni WAKILI

=============

Maombi ama Kesi inaweza kutupwa na Mahakama kwa namna moja kati ya mbili.

Inaweza kutupwa katika namna ambayo huwezi kuirudisha tena/kuifungua upya, ama inaweza kutupwa katika namna ambayo unaweza kuirudisha tena/ kuifungua upya.

Kutupwa katika namna ambayo unaweza kuirudisha tena kitaalam huitwa "STRIKE OUT", wakati ile ambayo huwezi kuirudisha tena hutwa kitaalam "DISMISSAL".

Kesi ya wakina Mdee imetupwa katika namna ambayo inaweza kurudishwa tena/kufunguliwa upya "STRIKE OUT".

STRIKE OUT maana yake kuna kitu kimekosewa ambacho kikirekebishwa kesi inarudishwa/kufunguliwa upya.

Maana yake kesi ya msingi ya uhalali wao bungeni haikusikilizwa hata kidogo, bali Mahakama imesikiliza makosa ya kiufundi na ikaamue iitupe kabla ya kusikiliza kesi ya msingi ili wahusika wakayarekebishe hayo makosa wairudishe tena ama waachane nayo, uamuzi ni wao.

Aghalabu, namna ya kuirudisha ni kuwa kama umejiandaa inaweza kutupwa na muda huohuo hata kabla watu hawajatoka Mahakamani au wakingali bado wanashangilia ukairudisha kwa kufungua nyingine hapohapo.

Ni kurekebisha tu makosa na kuanza upya.

Isipokuwa yale mazuio unayokuwa umepata yanakufa na ile iliyotupwa na hivyo huu muda wa katikati ambao hujafungua nyingine unakuwa haupo salama kwa kuwa huna zuio lolote linalokulinda na hivyo lolote laweza kufanyika dhidi yako.

La kufanya ufungue upya haraka na uombe zuio jingine jipya haraka kabla hujapata madhara ya kutokuwa na zuio.

Kwa msingi huu si ajabu kusikia kesi hii iko Mahakamani upya.

Basi waandishi watusaidie kuwa wanaripoti ilivyo fasaha.

Na Bashir Yakub, WAKILI.
+255 714 047 241.
Ukiwa na wakili kama huyu, kwenye kesi yoyote basi ujuwe umeshashindwa hiyo kesi kabla ya kwenda mahakamani.

Mwanasheria wa JF Paskali ameshakubali yaishe amehamisha goli sasa anasubili karma.😀😀
 
wanaochangia na kutamani Kina Mdee watoke bungeni wengi ni wanaume sijui hizo nafasi watazipata wao?
 
Back
Top Bottom