Wakili alipwa Tsh milioni 80 kumwokoa Ole Sabaya

Wakili alipwa Tsh milioni 80 kumwokoa Ole Sabaya

Waziri2025

Senior Member
Joined
Sep 2, 2019
Posts
148
Reaction score
379
Wakati kesi ya unyang'anyi wa kutumia silaha inayomkabili aliyekuwa DC wa Hai, Lengai ole Sabaya na wenzake ,ikielekea ukingoni kumalizika ,imefahamika kwamba wakili wa Sabaya ,Mosses Mahuna anadaiwa kulipwa sh, milioni 80 kumwokoa sabaya.

Pesa hiyo inadaiwa kupitia kwa mpenzi wa sabaya aitwaye Jesca ambaye anadaiwa kuwa ni rubani wa ndege ambaye pia yupo karibu sana na wakili Mahuna.

Katika hatua nyingine Bakari Msangi ambaye ni shahidi wa sita katika kesi hiyo akidai kupigwa na sabaya na kutishiwa kwa silaha,anadaiwa kupokea kiasi cha sh milioni 4 kutoka kwa sabaya ili asishiriki kutoa ushahidi katika kesi hiyo.

Pesa hiyo inadaiwa kutolewa na sabaya kupitia kwa mwenyekiti wa UWT wilaya ya Hai ambaye aliipeleka kwa mdogo wake Bakari ambaye ni meya wa Moshi Juma Shaibu ,hata hivyo Sabaya amemtuma Mwenyekiti hiyo wa UWT kwenda kuidai fedha hiyo kwa sababu mlengwa amewageuka..

Taarifa zimedai kuwa Juma Shaibu ambaye ni rafiki yake sabaya amegeuka mbogo hataki kusikia jambo hilo.
 
Mambo ya uongo, 80 million for what? Wakili is not a determinant of ushindi in un unjust systems like ours. Mpe hakimu 100,000,000 you wll win usubiri appeal.. angalau umepumua kwa kipindi hicho
Wakati kesi ya unyang'anyi wa kutumia silaha inayomkabili aliyekuwa DC wa Hai ,Lengai ole Sabaya na wenzake ,ikielekea ukingoni kumalizika ,imefahamika kwamba wakili wa Sabaya ,Mosses Mahuna anadaiwa kulipwa sh, milioni 80 kumwokoa sabaya.

Pesa hiyo inadaiwa kupitia kwa mpenzi wa sabaya aitwaye Jesca ambaye anadaiwa kuwa ni rubani wa ndege ambaye pia yupo karibu sana na wakili Mahuna.

Katika hatua nyingine Bakari Msangi ambaye ni shahidi wa sita katika kesi hiyo akidai kupigwa na sabaya na kutishiwa kwa silaha,anadaiwa kupokea kiasi cha sh milioni 4 kutoka kwa sabaya ili asishiriki kutoa ushahidi katika kesi hiyo.

Pesa hiyo inadaiwa kutolewa na sabaya kupitia kwa mwenyekiti wa UWT wilaya ya Hai ambaye aliipeleka kwa mdogo wake Bakari ambaye ni meya wa Moshi Juma Shaibu ,hata hivyo Sabaya amemtuma Mwenyekiti hiyo wa UWT kwenda kuidai fedha hiyo kwa sababu mlengwa amewageuka..

Taarifa zimedai kuwa Juma Shaibu ambaye ni rafiki yake sabaya amegeuka mbogo hataki kusikia.jambo hilo
 
Wakati kesi ya unyang'anyi wa kutumia silaha inayomkabili aliyekuwa DC wa Hai, Lengai ole Sabaya na wenzake ,ikielekea ukingoni kumalizika ,imefahamika kwamba wakili wa Sabaya ,Mosses Mahuna anadaiwa kulipwa sh, milioni 80 kumwokoa sabaya.

Pesa hiyo inadaiwa kupitia kwa mpenzi wa sabaya aitwaye Jesca ambaye anadaiwa kuwa ni rubani wa ndege ambaye pia yupo karibu sana na wakili Mahuna.

Katika hatua nyingine Bakari Msangi ambaye ni shahidi wa sita katika kesi hiyo akidai kupigwa na sabaya na kutishiwa kwa silaha,anadaiwa kupokea kiasi cha sh milioni 4 kutoka kwa sabaya ili asishiriki kutoa ushahidi katika kesi hiyo.

Pesa hiyo inadaiwa kutolewa na sabaya kupitia kwa mwenyekiti wa UWT wilaya ya Hai ambaye aliipeleka kwa mdogo wake Bakari ambaye ni meya wa Moshi Juma Shaibu ,hata hivyo Sabaya amemtuma Mwenyekiti hiyo wa UWT kwenda kuidai fedha hiyo kwa sababu mlengwa amewageuka..

Taarifa zimedai kuwa Juma Shaibu ambaye ni rafiki yake sabaya amegeuka mbogo hataki kusikia jambo hilo.
Inaelekea wewe ni mfalme au malkia wa majungu
 
BAVICHA wanaingiaje hapa? Sabaya alitolewa kazini na Rais Samia. Akashitakiwa na DPP wa Jamhuri. Lakini mtu ukiwa na akili ya kuku bado utaona CHADEMA wanamwonea Sabaya!!
Baada ya kuona kesi ya kupika inaonyesha rangi yake halisi, BAVICHA waja na mbinu mbadara kama kawaida yao.
 
Katika hatua nyingine Bakari Msangi ambaye ni shahidi wa sita katika kesi hiyo akidai kupigwa na sabaya na kutishiwa kwa silaha,anadaiwa kupokea kiasi cha sh milioni 4 kutoka kwa sabaya ili asishiriki kutoa ushahidi katika kesi hiyo.
Kula pesa na uende kutoa ushahidi kama kawa
 
Wakati kesi ya unyang'anyi wa kutumia silaha inayomkabili aliyekuwa DC wa Hai, Lengai ole Sabaya na wenzake ,ikielekea ukingoni kumalizika ,imefahamika kwamba wakili wa Sabaya ,Mosses Mahuna anadaiwa kulipwa sh, milioni 80 kumwokoa sabaya.

Pesa hiyo inadaiwa kupitia kwa mpenzi wa sabaya aitwaye Jesca ambaye anadaiwa kuwa ni rubani wa ndege ambaye pia yupo karibu sana na wakili Mahuna.

Katika hatua nyingine Bakari Msangi ambaye ni shahidi wa sita katika kesi hiyo akidai kupigwa na sabaya na kutishiwa kwa silaha,anadaiwa kupokea kiasi cha sh milioni 4 kutoka kwa sabaya ili asishiriki kutoa ushahidi katika kesi hiyo.

Pesa hiyo inadaiwa kutolewa na sabaya kupitia kwa mwenyekiti wa UWT wilaya ya Hai ambaye aliipeleka kwa mdogo wake Bakari ambaye ni meya wa Moshi Juma Shaibu ,hata hivyo Sabaya amemtuma Mwenyekiti hiyo wa UWT kwenda kuidai fedha hiyo kwa sababu mlengwa amewageuka..

Taarifa zimedai kuwa Juma Shaibu ambaye ni rafiki yake sabaya amegeuka mbogo hataki kusikia jambo hilo.
😆😆😆
 
BAVICHA wanaingiaje hapa? Sabaya alitolewa kazini na Rais Samia. Akashitakiwa na DPP wa Jamhuri. Lakini mtu ukiwa na akili ya kuku bado utaona CHADEMA wanamwonea Sabaya!!
Huyo ni dada mwenyekiti wa uwt wilaya ya hai
 
BAVICHA wanaingiaje hapa? Sabaya alitolewa kazini na Rais Samia. Akashitakiwa na DPP wa Jamhuri. Lakini mtu ukiwa na akili ya kuku bado utaona CHADEMA wanamwonea Sabaya!!
chadema inawanyima usingizi,hii yote ni kutokana na uimara wa chama,wanadhan watakiangusha kama NCCR na TLP
 
Back
Top Bottom