Wakili Bashir Yakub: Kisheria sio kosa mtu kuchoma mali yake

Wakili Bashir Yakub: Kisheria sio kosa mtu kuchoma mali yake

Bashir Yakub

Member
Joined
May 27, 2013
Posts
96
Reaction score
1,745
SIO KOSA MTU KUCHOMA MALI YAKE.

Bashir Yakub, WAKILI
+255714047241

MOSI, ili tukio liwe kosa lazima kuwe na upande ambao umeumizwa/ umekosewa(offended party).

Ukimpiga mtu, ukiiba mali ya mtu, ukichoma ama kuharibu mali ya mtu, anayekuwa amekosewa/ ameumizwa ni huyo mwenye mali yake au huyo uliyemdhuru.

PILI, kosa laziwe liwe na mlalamikaji/mshitaki. Ukiharibu mali yako mwenyewe mlalamikaji/ mshitaki ni nani.

Hata zile kesi za jinai ambazo Jamhuri ndio huwa mshitaki bado kunakuwa na shahidi Namba 1(PW1) ambaye ndiye mtendewa(victim). Na huyu kwao ndiye mshitaki. Kwahiyo mshtaki katika tukio lolote la malalamiko lazima awepo.

TATU, ili kosa likamilike lazima uthibitishe NIA OVU. Hii nia ovu unaipata wapi mtu amechomà mali yake mwenyewe.

NNE, kuchoma mali ni kawaida kwa kila mtu. Nyumbani kwako ukikusanya maplastiki, maredio ya zamani, nguo ambazo hupendi na vitu vingine nyie mnajua ukachoma hizo nazo ni mali. Nani kakwambia mali mpaka iwe gari.

Huko vijijini huchoma ardhi katika namna ya kuandaa mashamba. Ni mali inachomwa hiyo.

NNE, Tanzania hatuna sheria inayoelekeza namna ya kuondokana ama kumalizana na vitu ambavyo hupendi tena kuwa navyo. Nyumba huipendi unaweza kubomoa, samani za ndani umezichoka unaweza kuchoma moto, gari limekuchosha unaweza kuchoma ama kuikata vipuri(spare), ni wewe tu na namna yako.

Ni wewe tu kuamua kipi ukifanye mali ya kutunza na kipi ukifanya taka ya kuondokana nayo.

Labda kosa liwe kuwa Moshi uliotokana na uchomaji umedhuru watu, vinginevyo hata mimi nina mpango wa kuchoma ndege yangu binafsi AIRBUS A220 - 300 na nisisikie kelele zeNYU.

Soma: Muimbaji wa injili GodLucky achoma moto gari alilopewa zawadi na mchungaji
 
SIO KOSA MTU KUCHOMA MALI YAKE.

Bashir Yakub, WAKILI
+255714047241

MOSI, ili tukio liwe kosa lazima kuwe na upande ambao umeumizwa/ umekosewa(offended party).

Ukimpiga mtu, ukiiba mali ya mtu, ukichoma ama kuharibu mali ya mtu, anayekuwa amekosewa/ ameumizwa ni huyo mwenye mali yake au huyo uliyemdhuru.

PILI, kosa laziwe liwe na mlalamikaji/mshitaki. Ukiharibu mali yako mwenyewe mlalamikaji/ mshitaki ni nani.

Hata zile kesi za jinai ambazo Jamhuri ndio huwa mshitaki bado kunakuwa na shahidi Namba 1(PW1) ambaye ndiye mtendewa(victim). Na huyu kwao ndiye mshitaki. Kwahiyo mshtaki katika tukio lolote la malalamiko lazima awepo.

TATU, ili kosa likamilike lazima uthibitishe NIA OVU. Hii nia ovu unaipata wapi mtu amechomà mali yake mwenyewe.

NNE, kuchoma mali ni kawaida kwa kila mtu. Nyumbani kwako ukikusanya maplastiki, maredio ya zamani, nguo ambazo hupendi na vitu vingine nyie mnajua ukachoma hizo nazo ni mali. Nani kakwambia mali mpaka iwe gari.

Huko vijijini huchoma ardhi katika namna ya kuandaa mashamba. Ni mali inachomwa hiyo.

NNE, Tanzania hatuna sheria inayoelekeza namna ya kuondokana ama kumalizana na vitu ambavyo hupendi tena kuwa navyo. Nyumba huipendi unaweza kubomoa, samani za ndani umezichoka unaweza kuchoma moto, gari limekuchosha unaweza kuchoma ama kuikata vipuri(spare), ni wewe tu na namna yako.

Ni wewe tu kuamua kipi ukifanye mali ya kutunza na kipi ukifanya taka ya kuondokana nayo.

Labda kosa liwe kuwa Moshi uliotokana na uchomaji umedhuru watu, vinginevyo hata mimi nina mpango wa kuchoma ndege yangu binafsi AIRBUS A220 - 300 na nisisikie kelele zeNYU.
Ahsante Sana kwa elimu nzuri
 
Ameikosesha serikali kodi kutokana na kuweka mafuta , spea, tairi....
 
SIO KOSA MTU KUCHOMA MALI YAKE.

Bashir Yakub, WAKILI
+255714047241

MOSI, ili tukio liwe kosa lazima kuwe na upande ambao umeumizwa/ umekosewa(offended party).

Ukimpiga mtu, ukiiba mali ya mtu, ukichoma ama kuharibu mali ya mtu, anayekuwa amekosewa/ ameumizwa ni huyo mwenye mali yake au huyo uliyemdhuru.

PILI, kosa laziwe liwe na mlalamikaji/mshitaki. Ukiharibu mali yako mwenyewe mlalamikaji/ mshitaki ni nani.

Hata zile kesi za jinai ambazo Jamhuri ndio huwa mshitaki bado kunakuwa na shahidi Namba 1(PW1) ambaye ndiye mtendewa(victim). Na huyu kwao ndiye mshitaki. Kwahiyo mshtaki katika tukio lolote la malalamiko lazima awepo.

TATU, ili kosa likamilike lazima uthibitishe NIA OVU. Hii nia ovu unaipata wapi mtu amechomà mali yake mwenyewe.

NNE, kuchoma mali ni kawaida kwa kila mtu. Nyumbani kwako ukikusanya maplastiki, maredio ya zamani, nguo ambazo hupendi na vitu vingine nyie mnajua ukachoma hizo nazo ni mali. Nani kakwambia mali mpaka iwe gari.

Huko vijijini huchoma ardhi katika namna ya kuandaa mashamba. Ni mali inachomwa hiyo.

NNE, Tanzania hatuna sheria inayoelekeza namna ya kuondokana ama kumalizana na vitu ambavyo hupendi tena kuwa navyo. Nyumba huipendi unaweza kubomoa, samani za ndani umezichoka unaweza kuchoma moto, gari limekuchosha unaweza kuchoma ama kuikata vipuri(spare), ni wewe tu na namna yako.

Ni wewe tu kuamua kipi ukifanye mali ya kutunza na kipi ukifanya taka ya kuondokana nayo.

Labda kosa liwe kuwa Moshi uliotokana na uchomaji umedhuru watu, vinginevyo hata mimi nina mpango wa kuchoma ndege yangu binafsi AIRBUS A220 - 300 na nisisikie kelele zeNYU.
Mkuu Bashir Yakub nakuheshimu Sana chief ukileta vitu serious alafu mwishoni ukaleta masihala basi sisi magenius hatukawiagi kumdharau mtu husika .

Kuwa makini na sisi wenye akili kubwa hatupendi utani kwenye mada kuntu .

Onyo la kwanza na mwisho.🙏
 
SIO KOSA MTU KUCHOMA MALI YAKE.

Bashir Yakub, WAKILI
+255714047241

MOSI, ili tukio liwe kosa lazima kuwe na upande ambao umeumizwa/ umekosewa(offended party).

Ukimpiga mtu, ukiiba mali ya mtu, ukichoma ama kuharibu mali ya mtu, anayekuwa amekosewa/ ameumizwa ni huyo mwenye mali yake au huyo uliyemdhuru.

PILI, kosa laziwe liwe na mlalamikaji/mshitaki. Ukiharibu mali yako mwenyewe mlalamikaji/ mshitaki ni nani.

Hata zile kesi za jinai ambazo Jamhuri ndio huwa mshitaki bado kunakuwa na shahidi Namba 1(PW1) ambaye ndiye mtendewa(victim). Na huyu kwao ndiye mshitaki. Kwahiyo mshtaki katika tukio lolote la malalamiko lazima awepo.

TATU, ili kosa likamilike lazima uthibitishe NIA OVU. Hii nia ovu unaipata wapi mtu amechomà mali yake mwenyewe.

NNE, kuchoma mali ni kawaida kwa kila mtu. Nyumbani kwako ukikusanya maplastiki, maredio ya zamani, nguo ambazo hupendi na vitu vingine nyie mnajua ukachoma hizo nazo ni mali. Nani kakwambia mali mpaka iwe gari.

Huko vijijini huchoma ardhi katika namna ya kuandaa mashamba. Ni mali inachomwa hiyo.

NNE, Tanzania hatuna sheria inayoelekeza namna ya kuondokana ama kumalizana na vitu ambavyo hupendi tena kuwa navyo. Nyumba huipendi unaweza kubomoa, samani za ndani umezichoka unaweza kuchoma moto, gari limekuchosha unaweza kuchoma ama kuikata vipuri(spare), ni wewe tu na namna yako.

Ni wewe tu kuamua kipi ukifanye mali ya kutunza na kipi ukifanya taka ya kuondokana nayo.

Labda kosa liwe kuwa Moshi uliotokana na uchomaji umedhuru watu, vinginevyo hata mimi nina mpango wa kuchoma ndege yangu binafsi AIRBUS A220 - 300 na nisisikie kelele zeNYU.
Manabii wale ni wachawi mno yani wale ni Majini ukute nashangaa wanaowasikiliza.
 
Hilo gari linapaswa kulipiwa bima ya magari, linahitajika kulipiwa kodi ya Serikali. Hata kama kapewa bure na halipi kodi wala bima, Bado kuna maswali, gari liliingiaje nchini? Kihalali? Lilipiwa ushuru? Huko lilikotoka hakuna anayelalamika?
Je aliyetoa hilo gari kama zawadi anatakatisha pesa? Kwa nini aliyezawadiwa ameamua kulichoma? Si na yeye angetoa zawadi? 🤔
 
SIO KOSA MTU KUCHOMA MALI YAKE.

Bashir Yakub, WAKILI
+255714047241

MOSI, ili tukio liwe kosa lazima kuwe na upande ambao umeumizwa/ umekosewa(offended party).

Ukimpiga mtu, ukiiba mali ya mtu, ukichoma ama kuharibu mali ya mtu, anayekuwa amekosewa/ ameumizwa ni huyo mwenye mali yake au huyo uliyemdhuru.

PILI, kosa laziwe liwe na mlalamikaji/mshitaki. Ukiharibu mali yako mwenyewe mlalamikaji/ mshitaki ni nani.

Hata zile kesi za jinai ambazo Jamhuri ndio huwa mshitaki bado kunakuwa na shahidi Namba 1(PW1) ambaye ndiye mtendewa(victim). Na huyu kwao ndiye mshitaki. Kwahiyo mshtaki katika tukio lolote la malalamiko lazima awepo.

TATU, ili kosa likamilike lazima uthibitishe NIA OVU. Hii nia ovu unaipata wapi mtu amechomà mali yake mwenyewe.

NNE, kuchoma mali ni kawaida kwa kila mtu. Nyumbani kwako ukikusanya maplastiki, maredio ya zamani, nguo ambazo hupendi na vitu vingine nyie mnajua ukachoma hizo nazo ni mali. Nani kakwambia mali mpaka iwe gari.

Huko vijijini huchoma ardhi katika namna ya kuandaa mashamba. Ni mali inachomwa hiyo.

NNE, Tanzania hatuna sheria inayoelekeza namna ya kuondokana ama kumalizana na vitu ambavyo hupendi tena kuwa navyo. Nyumba huipendi unaweza kubomoa, samani za ndani umezichoka unaweza kuchoma moto, gari limekuchosha unaweza kuchoma ama kuikata vipuri(spare), ni wewe tu na namna yako.

Ni wewe tu kuamua kipi ukifanye mali ya kutunza na kipi ukifanya taka ya kuondokana nayo.

Labda kosa liwe kuwa Moshi uliotokana na uchomaji umedhuru watu, vinginevyo hata mimi nina mpango wa kuchoma ndege yangu binafsi AIRBUS A220 - 300 na nisisikie kelele zeNYU.
Sema huyo ako kashikaji kanafiki kametumia gari miaka minne ameona gari linaanza kusumbua sumbua akaliwasha moto gari lenyewe limechakaa na lishakuwa used anaiga ili apate kiki kama za RICKLOSS
 
SIO KOSA MTU KUCHOMA MALI YAKE.

Bashir Yakub, WAKILI
+255714047241

MOSI, ili tukio liwe kosa lazima kuwe na upande ambao umeumizwa/ umekosewa(offended party).

Ukimpiga mtu, ukiiba mali ya mtu, ukichoma ama kuharibu mali ya mtu, anayekuwa amekosewa/ ameumizwa ni huyo mwenye mali yake au huyo uliyemdhuru.

PILI, kosa laziwe liwe na mlalamikaji/mshitaki. Ukiharibu mali yako mwenyewe mlalamikaji/ mshitaki ni nani.

Hata zile kesi za jinai ambazo Jamhuri ndio huwa mshitaki bado kunakuwa na shahidi Namba 1(PW1) ambaye ndiye mtendewa(victim). Na huyu kwao ndiye mshitaki. Kwahiyo mshtaki katika tukio lolote la malalamiko lazima awepo.

TATU, ili kosa likamilike lazima uthibitishe NIA OVU. Hii nia ovu unaipata wapi mtu amechomà mali yake mwenyewe.

NNE, kuchoma mali ni kawaida kwa kila mtu. Nyumbani kwako ukikusanya maplastiki, maredio ya zamani, nguo ambazo hupendi na vitu vingine nyie mnajua ukachoma hizo nazo ni mali. Nani kakwambia mali mpaka iwe gari.

Huko vijijini huchoma ardhi katika namna ya kuandaa mashamba. Ni mali inachomwa hiyo.

NNE, Tanzania hatuna sheria inayoelekeza namna ya kuondokana ama kumalizana na vitu ambavyo hupendi tena kuwa navyo. Nyumba huipendi unaweza kubomoa, samani za ndani umezichoka unaweza kuchoma moto, gari limekuchosha unaweza kuchoma ama kuikata vipuri(spare), ni wewe tu na namna yako.

Ni wewe tu kuamua kipi ukifanye mali ya kutunza na kipi ukifanya taka ya kuondokana nayo.

Labda kosa liwe kuwa Moshi uliotokana na uchomaji umedhuru watu, vinginevyo hata mimi nina mpango wa kuchoma ndege yangu binafsi AIRBUS A220 - 300 na nisisikie kelele zeNYU.
Mkuu,
Kwaio nikitaka kuchoma pesa zangu nilizo zitolea jasho siwezi kushughulikiwa..

Yaan nichukue pesa nachukua kibiriti naanza kuzichoma moto.

Ufafanuzi.
 
Hilo gari linapaswa kulipiwa bima ya magari, linahitajika kulipiwa kodi ya Serikali. Hata kama kapewa bure na halipi kodi wala bima, Bado kuna maswali, gari liliingiaje nchini? Kihalali? Lilipiwa ushuru? Huko lilikotoka hakuna anayelalamika?
Je aliyetoa hilo gari kama zawadi anatakatisha pesa? Kwa nini aliyezawadiwa ameamua kulichoma? Si na yeye angetoa zawadi? 🤔
Mkuu umekula kweli mchana? Kwani lazima kutoa zawadi?
 
Hiyo ni Malicious injury to property na ni kosa kisheria kwa mujibu wa Sect 326 cap 16 R.E 2022 haijalishi ni mali yako mlalamikaji atakua jamuhuri na unaweza kufungwa miaka 7
 
Sema huyo ako kashikaji kanafiki kametumia gari miaka minne ameona gari linaanza kusumbua sumbua akaliwasha moto gari lenyewe limechakaa na lishakuwa used anaiga ili apate kiki kama za RICKLOSS
Kumbe mpuuzi,kwanini asingelichoma mda mchache tu baada ya kukabidhiwa?

Ina maana ndani ya miaka minne hakujua hiyo madhabahu sio sahihi?
 
Back
Top Bottom