Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Your browser is not able to display this video.
Ameongeza kuwa ili kuwezesha upatikanaji wa Maji, wamekuwa wakitoa pesa kwa utaratibu wa ruzuku kuwezesha miradi ya maji mbalimbali inayotekelezwa hususani maeneo ya vijijini, lakini pia ameeleza kwamba wamekuwa wakitoa mikopo kuwezesha miradi ya maji kutekelezwa kwenye baadhi ya maeneo.
Pia amasema kwamba karibia kila mwaka kiasi cha fedha kisizopungu 60% kutoka ya pesa zote ambazo utolewa na Mfuko huo uelekezwa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) ili kutekeleza miradi ya maji vijijini.