Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Nikiwa mkubwa nataka niwe kama huyu shangazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maji aliyavulia nguo ayaoge, aache kubwabwajaWakili Jebra Kambole amesema "Bado wanashikiliwa kituo cha polisi na hawajapewa dhamana Lakini tumeshapeleka kesi mahakamani kuomba waletwe mahakamani pamoja na wakili Philip Mwakilima, Boniface Mwabukusi na Nickson Kiliwa."
Mwimbaji huyo Sifa Boniventure Bujune (25) ni Mkazi wa Isyesye anatuhumiwa kuimba wimbo unaojulikana kwa jina la “Tanzania Inaelekea Wapi?” unaodaiwa kuwa na maudhui ya uchochezi dhidi ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kisha kuurusha katika Mitandao ikiwemo YouTube
Alikamatwa Septemba 13, 2023 akiwa Isyesye-Mbeya na bado anaendelea kuhojiwa kwa hatua zaidi za kisheria
Pia soma Mbeya: Msanii wa Nyimbo za Injili, Sifa Bujune ashikiliwa kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi
Kwani nilimtuma akaimbe hayo.Na raia wametulia tu...
Hivi nyie wapigania uhuru wa kisasa huwa hamuoni hakuna suppport ya wananchi mkaushe tu?