Pre GE2025 Wakili Jebra Kambole: Jinsi ilivyo ngumu kumnadi Mbowe; sasa mpitisheni muone itakavyokuwa ngumu kuwanadi wagombea 2025. Mtapita kama mnaaga maiti

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nashangaa yule jamaa wa ubungo mwenye bichwa kubwa na madevu
Anadhani atapata ubunge wa mezani chini ya mbowe na maridhiano

Ccm wamewahadaa wakahadaika

Bila kumpa lisu usukani aongoze mapambano na ushawishi kwa wananchi cdm. Isahau ubunge
 
TLS imewashinda sasa mmehamia kwenye siasa!
 
Nimecheka kwa sauti
 
🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…