Wakili Kibatala: Nimemwambia Hakimu akasome Sheria vizuri kabla ya kufanya maamuzi ya Shitaka la Afande Fatma

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Kesi ya kuratibu genge la ubakaji kwa kundi na ulawiti inayomkabili Fatma Kigondo maarufu Kama 'Afande', imechukua sura mpya baada ya upande wa waleta maombi kumtaka hakimu anayesikiliza kesi hiyo, Nyambuli Tungaraja kusaini hati ya mashtaka ili mtuhumiwa aweze kusomewa kesi yake popote alipo.

Soma Pia:

Your browser is not able to display this video.
 
Huyu Sio Kibatala, anaitwa Wakil Peter Madereka.
 
Duuh,huku tunakoelekea kutakuja kujua maana ya cheo ni dhamana na pia hakuna aliye juu ya Sheria!Viva Tanzania,Viva wapenda HAKI .
 
Huyu Afande analindwa sana.
Any way tuendelee kupaza sauti kiziwi atasikia tu.
Unajua unaweza ukajiuliza kwanini inafikia mahali watu wanakubali kushiriki dhambi za watu tena za kipumbavu kama hizi!

Sababu kwa ukubwa wa hili jambo na namna linavyopigiwa kelele ilibidi hata raisi wa nchi afanye ku-push haki itendeke lakini kimyaaa kama hakuna kilichotokea.
 
Inaonekana Afande ana benchmark ya uhakika siyo mchezo.
 
Kwani huyo Afande ana undugu na Rais au?!!, nini chanzo cha kukingiwa kifuwa kwa nguvu namna hii?!
 
Ukiona hivyo ujue wote ni wachafu... wanalindana
 
Ana majina mangapi huyu wakili?

 
Kwannza awake hewani picha watu wamjue. Pua tujue cheo chake na kituo chake cha kazi
 
Rais yupi, huyu huyu bi Urojo? Akilizungumzia hili sakata(I meant hii jinai ya kutisha na kusikitisha ya kumbaka/ kumlawiti binti wa Kitanzania) najirekodi nakunya halafu natuma clip kwenye uzi huu huu.
 
Wao walidhani kuwatoa sadaka wale wala mavi ingetosha na kwamba afande can get away of it. Watu wanaopaza sauti na kutafuta haki ya huyo binti ni wa kupongezwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…