Wakili Madeleka anatumika na dola kumsafisha Mbunge Gekul

Wakili Madeleka anatumika na dola kumsafisha Mbunge Gekul

Naskia antenanaririvovo watu hujinunulia tindikali wanapiga shoo na habari inaishia hapo! Wanasema kunavitu sivyasheriani. Naskia...
 
Kuna move Madeleka anacheza na serikali kwa mgongo wa wanaharakati na uwakili. Kesi ya Gekul ilikuwa inafanyiwa uchunguzi na jeshi la polisi Nchini. Tukaambiwa jalada limepelekwa kwa DPP; siku taarifa zinatoka Madeleka akasema anataka kufungua kesi dhidi ya Gekul. DPP kaanza kupiga dana dana no updates hadi leo.

Tunafahamu mahakama zetu kwamba zinaendeshwa na wishes za serikali. Haiwezekani DPP akae kimya hakimu ajitutumue kuruhusu Mbunge aitwe mahakamani. Kesi imeisha hii, mnyonge hana haki Tanzania .

Lakini pia ukiangalia mchezo anaocheza Madeleka unabaini system inamlipa. Juzi tumeona anatupia mtandaoni barua za wateja wake kwamba wameonewa na mfumo ila hakuna kesi aliyofungua kuwasaidia wateja wake.

Natabiri huyu kiumbe kaeni naye kwa akili hasa mawakili wenzake. Achelewi kuchota taarifa zenu nakuzipeleka kwingine

Sijawahi kuamini kwamba polisi anaishiwa tamaaaa. Huyu ni Polisi tusimwamini maana naye anamahitaji ya mookoto na madaraka.
DPP kashaifuta, chupa ya soda imebaki na "TAMU"
 
Huyo anatafuta ugali wake na wanae.
Na ni haki yake.
Hawezi kumtetea mnyonge yoyote,popote pale.
Kesi imefungwa
 
Kuna move Madeleka anacheza na serikali kwa mgongo wa wanaharakati na uwakili. Kesi ya Gekul ilikuwa inafanyiwa uchunguzi na jeshi la polisi Nchini. Tukaambiwa jalada limepelekwa kwa DPP; siku taarifa zinatoka Madeleka akasema anataka kufungua kesi dhidi ya Gekul. DPP kaanza kupiga dana dana no updates hadi leo.

Tunafahamu mahakama zetu kwamba zinaendeshwa na wishes za serikali. Haiwezekani DPP akae kimya hakimu ajitutumue kuruhusu Mbunge aitwe mahakamani. Kesi imeisha hii, mnyonge hana haki Tanzania .

Lakini pia ukiangalia mchezo anaocheza Madeleka unabaini system inamlipa. Juzi tumeona anatupia mtandaoni barua za wateja wake kwamba wameonewa na mfumo ila hakuna kesi aliyofungua kuwasaidia wateja wake.

Natabiri huyu kiumbe kaeni naye kwa akili hasa mawakili wenzake. Achelewi kuchota taarifa zenu nakuzipeleka kwingine

Sijawahi kuamini kwamba polisi anaishiwa tamaaaa. Huyu ni Polisi tusimwamini maana naye anamahitaji ya mookoto na madaraka.
hivi kweli ninyi mnamwamini mtu aliyekuwa polisi mwenye cheo cha inspector akaacha, kweli polisi wa umri ule hua anaacha kuwa mtiifu kwa serikali kirahisi namna hiyo?wakati anajua madhara yanayoweza kumpata? watanzania rahisi sana kudanganyika. madeleka alishakuwa polisi akaacha, na pia ni kilaza mno wa sheria.
 
Back
Top Bottom