Wakili Madeleka anatumika na dola kumsafisha Mbunge Gekul

Naskia antenanaririvovo watu hujinunulia tindikali wanapiga shoo na habari inaishia hapo! Wanasema kunavitu sivyasheriani. Naskia...
 
DPP kashaifuta, chupa ya soda imebaki na "TAMU"
 
Huyo anatafuta ugali wake na wanae.
Na ni haki yake.
Hawezi kumtetea mnyonge yoyote,popote pale.
Kesi imefungwa
 
hivi kweli ninyi mnamwamini mtu aliyekuwa polisi mwenye cheo cha inspector akaacha, kweli polisi wa umri ule hua anaacha kuwa mtiifu kwa serikali kirahisi namna hiyo?wakati anajua madhara yanayoweza kumpata? watanzania rahisi sana kudanganyika. madeleka alishakuwa polisi akaacha, na pia ni kilaza mno wa sheria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…