Pre GE2025 Wakili Madeleka: Dkt. Wilbrod Slaa ataendelea kusota Magereza hadi Januari 30, 2025, kwa sababu; "Kuna ugeni wa Marais"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mzee alizingua sana upimzani kwenye uchaguzi wa 2015.
Nilimchukia sana na hata anavosota rumande sasa wala simuonei huruma.
 
Nchi ya kisenge saana hii.

Haijalishi mzee slaa alizingua huko nyuma au lah, ila huu mfumo wetu ni wa hovyo unamkera kila mtu, ombea tu yasikufike.
 
Kabisa
 
Chadema waliomtuma hata sio agenda kwao kweli kila mchuma janga hula na wa kwao.........!
Kwa akili hizi, bora tuendelee kununua magoli ya simba ya yanga . Trump kazia hapo hapo tuendelee kufa kwa ukimwi
 
Huyu mzee mnafiki sana.

Yeye ndiye aliyechangia CCM kuendelea kuwepo madarakani kwenye uchagu,i wa mwaka 2015.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…