Wakili Madeleka ukipeleka mahakamani suala la uraia wa wachezaji SBS Usisahau Kibu wa Simba

Wakili Madeleka ukipeleka mahakamani suala la uraia wa wachezaji SBS Usisahau Kibu wa Simba

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Wakili Madeleka ametangaza Nia yake kumpeleka pingamiza mahakama ya uraia wa wachezaji 4 wa Singida Black Stars ambao walipewa uraia wa Kimagumashi

Nakukumbusha Madeleka huu uhuni watangulizi wake ni Simba na hapa Singida waliiga

Kibu anadai alikuwa nchini Toka zamani mwaka 1998, lakini Kibu ana umri wa miaka 26, na kutoka 1998 mpaka ni miaka 27, Sasa swali,
Ina maana Kibu alikuwa nchini kabla ya kuzaliwa?

Kibu ni raia wa Burundi na siyo Congo kama wengi wanavyodai na wala hakuwa kuwa mkimbizi katika kambi yoyote hapa Tanzania

Kibu aliingia nchini akiwa mtu mzima kupitia vijiji vya Bugarama na Kabanga Ngara na aliishi hapa nchini akicheza amateur football ⚽ huku Ngara na baadae akaenda Geita na Mbeya city baadae Simba

Ndugu wa Kibu ni WA Burundi wanakuja Ngara hapa

Kibu ana jinai ya kuishi nchini bila vibali

Jambo la kihuni likifanywa na Simba mnaligicha ila wakifanya vidagaanakimbilia mahakamani

Serikali uchunguze uhalali wa uraia wa Kibu kwanza kama ulifata vigezo
 
Wachaaa weeee!

Afu Kibu mwenyewe hata hakusikiiii

Dunia hii ... Apechealolooo
 
Mnasemaje haoo omurugwanza na mukididiri,waangaza na warundi ni kitu kimoja tu huo mpaka wa kabanga usikutishe meisha hiyo
 
Wakili Madeleka ametangaza Nia yake kumpeleka pingamiza mahakama ya uraia wa wachezaji 4 wa Singida Black Stars ambao walipewa uraia wa Kimagumashi

Nakukumbusha Madeleka huu uhuni watangulizi wake ni Simba na hapa Singida waliiga

Kibu anadai alikuwa nchini Toka zamani mwaka 1998, lakini Kibu ana umri wa miaka 26, na kutoka 1998 mpaka ni miaka 27, Sasa swali,
Ina maana Kibu alikuwa nchini kabla ya kuzaliwa?

Kibu ni raia wa Burundi na siyo Congo kama wengi wanavyodai na wala hakuwa kuwa mkimbizi katika kambi yoyote hapa Tanzania

Kibu aliingia nchini akiwa mtu mzima kupitia vijiji vya Bugarama na Kabanga Ngara na aliishi hapa nchini akicheza amateur football ⚽ huku Ngara na baadae akaenda Geita na Mbeya city baadae Simba

Ndugu wa Kibu ni WA Burundi wanakuja Ngara hapa

Kibu ana jinai ya kuishi nchini bila vibali

Jambo la kihuni likifanywa na Simba mnaligicha ila wakifanya vidagaanakimbilia mahakamani

Serikali uchunguze uhalali wa uraia wa Kibu kwanza kama ulifata vigezo
nenda mahakamani kwa ajili ya kibu madeleka ameenda kwa ajili ya hao wachezaji wa mwigulu
 
dogo huna akili kibu kaishi kwenye kambi za wakimbizi na baadhi ya wanafamilia yake washachukuliwa wanaishi marekani na siku akistafu tu soka anakula udhamini wa ndugu zake wa kwenda kuishi state kupitia ndugu zake wewe utaendelea kujamba apo kijijini kwenu
 
dogo huna akili kibu kaishi kwenye kambi za wakimbizi na baadhi ya wanafamilia yake washachukuliwa wanaishi marekani na siku akistafu tu soka anakula udhamini wa ndugu zake wa kwenda kuishi state kupitia ndugu zake wewe utaendelea kujamba apo kijijini kwenu
Huna unalolijua
 
wewe huko uliko kijijini ngara unajua kuliko immigration au unataka tuweke tarifa za ndugu zake waliondoka lini kutoka kambini kwenda USA uwe ugomvi apa
Huyo haijawahi kuishi kambini
Kambi zipo Kigoma
Kibu hajawahi kuishi Kigoma
 
Huyo haijawahi kuishi kambini
Kambi zipo Kigoma
Kibu hajawahi kuishi Kigoma
hujui kama kuna wakimbizi huwa wanatoroka kambini na kujichanganya uraiani kuna familia huwa zinakaa kambini had miaka 15 wengine wanachoka wanaamua waingie kitaa wenyewe huwezi kujua hii michezo ndio maana nimekwambia wewe sio immigration vitu vingi vipo nje ya uwezo wako
 
hujui kama kuna wakimbizi huwa wanatoroka kambini na kujichanganya uraiani kuna familia huwa zinakaa kambini had miaka 15 wengine wanachoka wanaamua waingie kitaa wenyewe huwezi kujua hii michezo ndio maana nimekwambia wewe sio immigration vitu vingi vipo nje ya uwezo wako
KutorokA kambini ni kosa la jinai
 
Back
Top Bottom