Kiongozii FMSE, Heshima mbele Mkuu;
Ni vema tukajifunza uvumilivu hasa pale watu wanapoongea facts badala ya wewe kuwa dissapointed pale watu wanapohoji mambo ya kimsingi au wanataka kusema ya kweli.
Uliongea mengi sana kuwa wewe uko close naye na ukajenga mazingira halisi kuwa uko karibu sana na familia ile. Ukajibu hoja nyingi sana lakini ulipoulizwa katika hayo masuala mawili ukashindwa kujibu na kudai hutaongelea hilo. Kama hutaki kuwa dissapointed tuletee majibu ya mswali hayo kuwa alikwepaje JKT na aliingiaje UDSM bila kuwa na cheti cha JKT. I will be OK.
Kama kuna kiongozi yeyote unayemjua hata humu JF ambaye hapendi kufuata utaratibu na unamjua, jibu ni kumtaja na kumsaidia wapi alikosea na wala si kuwa na wasiwasi kuwa tutaibua mengi. Tumechoka sasa na haya mambo ambayo ndiyo yametufikisdha hapa tulipo miaka 47 baada ya uhuru ingawa tuna rasilimali zote za kuleta maendeleo. Inatia uchungu sana.
FMSE mimi ni moja kati ya watu wanaokuheshimu sana hasa kwa kuleta datas. Na nakuhakikishia kuwa post zako zote nimekuwa nikizisoma. Hunijui ni nani na wala mimi sikujui ni nani. Mhusika pia ni namfahamu kiasi japo inaweza kuwa si karibu sana kama wewe. Lakini inapokuja suala la ukweli na maslahi ya taifa, wengine sasa tumechoka na tumeamua kujitoa mhanga kwa ajili ya taifa hilia come what may. Just wait and see. Call a spade spade. Black balck and white white.
Katika uongozi historia na tabia ya mtu has something to do with the future. Hasa kama mhusika hataki kujisahihisha. Its is the history which shapes the future. Nina imani wahusika walikuwa wanajua ni nini kinaendelea katika suala la Deep Green hasa ukiangalia facts zote ambazo Dr. Slaa alizitoa bungeni.
Nakusihi na kukuomba kuwa, wakati huu ni wa kusimama pamoja na kuwa wakweli bila kujali kama mhusika mna uhusiano naye kivipi. Ni kwa kufanya hivyo mimi, wewe na wote tutalirekebisha taifa. Dawa ya jipu ni kulitumbua na kutoa usaha. Japo litauma lakini utapona. Sisi ni watu wazima, kubali kiungwana kuwa yatupasa tuwajibike.
- Mkuu Allien nilifkiri you are for real, kumbe ni yale yale I am very dis-apponted! Mana kama ni tabia ya mtu kutofichika basi tutaibua wengi sana kuanzia humu JF! na hizi madas!
Ila kwenye hili ninaamini kuwa wakili wa Masha atasiamama mwenyewe kwa miguu yake na patakua patamu sana hapo na hii habari.
Duh! Allien napenda kweli unavyoshusha vitu. Hebu kaa ulimwenguni kwa muda kidogo tunufaike na busara na hekima zako. Usirudi kule kwa Mallien wenzio maana hukawii kupotea tena kwa kipindi kirefu.
Kiongozi Mwanakijiji;
Huenda akawa ni mtu asiyependa kufuata utaratibu
Alikacha kupitia JKT
Aliingia UDSM kinyume na kigezo cha kupitia JKT
Unategemea nini? Tabia ya mtu haifichiki kwa muda mrefu.
Inapokuja suala la Opportunity na Maslahi ya taifa, chaguo liko wazi.
- Tik tak tik tak kweli JF tumeingiliwa sasa where is our credibility masikini wa Mungu sisi, what is the agenda? Yaani na sisi tumeingia vita vya urasi wa CCM?
Mungu atupishilie mbali sana haya mabalaaa!
Masha inadaiwa kuwa anasemea pembeni kuwa "haijui Deep Green Finance" na kuwa alikuwa hajui kuwa fedha walizotumia DGF kuwalipa IMMMA zimechotwa Benki Kuu!! Na kuwa yeye hajaonja hata senti moja! Anasema watu wanamtafuta tu kwa sababu ya wivu na majungu!
Kiongozi Bubu;
Vijana wenzetu ambao tulifikiri wangekuwa mfano mzuri na kutoa changamoto kwa vijana wengine kuingia katika siasa wametuangusha. Tumepiga kelele miaka mingi vijana tupewe nafasi, baada ya kupewa tunasahau kupigania maslahi ya nchi. Inasikitisha sana.
SIZE]
Mzee ES kuna kitu unataka kutueleza sisi ambao tuko huku mbali ?Hebu sema usikike
Masha ni fisadi na kuhusika kwake na ufisadi ni jambo ambalo nimekuwa nalisema toka wakati ule wa issue ya mwanahalisi na pia wakati wa issue ya Ridhiwani Kikwete na kampuni la kifisadi la IMMA (IMMMA).
Ugomvi wa Masha dhidi ya Mengi ni kwa sababu Thisday na Kulikoni wameendelea kushika bango ufisadi (wa deep green, kagoda nk) wakati ambapo Masha na serikali walitegemea watanzania kukaa kimya baada ya Mramba na Yona kupelekwa mahakamani.
Masha wewe ni fisadi, tena umeanza kutisha na hizi amri zako za siku saba. Kama bado unabisha basi unaweza kunipa mimi siku saba ili tukutane mahakamani. Nadhani mimi na wewe tunajuana vizuri sana na unajua kuwa najua kuwa unajua kuwa ninajua kile ambacho unajua kuwa ninakijua.
Msitari wa kuwaogopa mafisadi ulichorwa pale mlipoanza kutuma watu kuja US ili kujua wana JF..... nenda mahakamani kama hukupenda nilichoandika.
Masha ni fisadi na kuhusika kwake na ufisadi ni jambo ambalo nimekuwa nalisema toka wakati ule wa issue ya mwanahalisi na pia wakati wa issue ya Ridhiwani Kikwete na kampuni la kifisadi la IMMA (IMMMA).
Ugomvi wa Masha dhidi ya Mengi ni kwa sababu Thisday na Kulikoni wameendelea kushika bango ufisadi (wa deep green, kagoda nk) wakati ambapo Masha na serikali walitegemea watanzania kukaa kimya baada ya Mramba na Yona kupelekwa mahakamani.
Masha wewe ni fisadi, tena umeanza kutisha na hizi amri zako za siku saba. Kama bado unabisha basi unaweza kunipa mimi siku saba ili tukutane mahakamani. Nadhani mimi na wewe tunajuana vizuri sana na unajua kuwa najua kuwa unajua kuwa ninajua kile ambacho unajua kuwa ninakijua.
Msitari wa kuwaogopa mafisadi ulichorwa pale mlipoanza kutuma watu kuja US ili kujua wana JF..... nenda mahakamani kama hukupenda nilichoandika.
Ukisoma makala ya Jumatano si ndio utadhani miye mdogo wake!?