Wakili Mediam Mwale adaiwa kukutwa na TZS 18 bilioni haramu

Naomba kujuwa wakili Mwale . Anakabiliwa na Kesi gani iliyomfanya kukaa mahabusu miaka 7 mpaka sahiv.
 
Nilisikia alikuwa anafua pesa hadi zinatakata..so kosa la kutskatisha ndilo linalomkabili...sina uhakika sana wajuvi waje
 
Ngoja wajuvi wa mambo waje. Ila kiukweli siku hizi mikoa ya Arusha na Moshi ujambazi umepungua sana,sana tu. Na huyu ndo alikuwa wakili mkubwa wa wajanja wa mikoa hii. Nahisi ipo namna wamemtengenezea zengwe yeye pamoja na network yake.
 
Kesi ya Kutakatisha Fedha, Na Hayupo Mahabusu, Yupo Kisongo Gerezani, Nenda Utamkuta
 
lema alikuwa anamtetea sana, sijui ni ule msemo wa waswahili wa pemba hujuana kwa vilemba..
 
Nyaga si alikufa kifo cha kutatanisha vile? Na alizikwa wap vile? Kuua nini ile?
 


Hizi deal huwa zina mikono mirefu behind them
 
Hii iliishaje??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…