Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Rip Parents, sio ligi. Mimi sihitaji kuongeza wala kupunguza.Achana na mimi mda wa kazi huu!
Kama kula ni kulà tuu,haya!
Mimi nakupa solution wewe unaleta Ligi!
If that is the case he could be termed a lesser man but not by virtue of size of his genitals.hapo mwishoni,una habari alimkimbia mke na watoto USA??? mmmnhhhhh plus kibamia.....mmmmmmmnh
Hahahaha!Rip Parents, sio ligi. Mimi sihitaji kuongeza wala kupunguza.
Siku ukikosa hela nyumbani ndiyo utajua dushe haliwezi kupikwa.
Tutafute hela wanaume. Acha kuwasikiliza wanawake, kesho watasema wanataka mwenye moyo mkubwa.
Mkuu ukimfanyia mtoto hivyo lazima atakuwa mtaalam wa punyeto au hanisi kabisa. Hahaha.Hahahaha!
Nimekushauri jinsi ya kusaidia watoto wawe na vitu wastani!
Mkuu, hiyo ni tafsiri ya kiingereza cha kisheria ambayo wanasheria wote wanaitwa "learned brothers/sisters", dunia nzima ndio neno lake, sawa na unapomwita hakimu, mbunge au jaji "mheshimiwa", lazima useme hivyo, bila hivyo hujamtaja vizuri. wanasheria tunaitwa Learned brothers (lakini kiswahili chepesi ni wakili msomi badala ya kaka msomi)....nafikiri mainjinia hawaja qualify vizuri kuitwa wasomi kwasababu tusizozijua, vuta subra pengine dunia itakuja kubadilika baadaye na ninyi mkaitwa wasomi, ila kwa sasa ni wanasaheria tu ndio wanaweza kuwa addressed hivyo, ndizo lugha za makazini kwetu hizo mkuu.Maneno "wakili msomi" huwa yananikera sana na hutamkwa kishabiki zaidi ya uhalisia.
Kwani eng sio msomi!
utajibu kombora gani kama umeonekana maumbile yako namna ile dunia nzima, clip itabaki milele hadi watoto wake na wajukuu zake, dada zake etc wamekiona watakiona na wataendelea kukiona? muda si mrefu utakikuta kwenye mitandao ya ngono duniani ile clip na hapo hatakuja kupata nafasi yeyote serikalini kwasababu hilo ndo litakuwa tusi lake. amepigwa pigo kubwa sana laiti kama angelijua angetulia. nampa pole.Subirini Lemutuz aanze kuwadhalilisha wanaomdhalilisha ndo mtajua kuwa jamaa ni Darasa la Saba B... Huyu Jamaa Saiz anatunga mbinu ya kujibu kombora...
Mtaniambia
Mtoto mchanga!Mkuu ukimfanyia mtoto hivyo lazima atakuwa mtaalam wa punyeto au hanisi kabisa. Hahaha.
Tumwache Mungu na uumbaji wake.
Aanze mara ngapi mbona kila siku post zake ni kashfa tupu kwa wenzie.Subirini Lemutuz aanze kuwadhalilisha wanaomdhalilisha ndo mtajua kuwa jamaa ni Darasa la Saba B... Huyu Jamaa Saiz anatunga mbinu ya kujibu kombora...
Mtaniambia
Swali zuri. Mwanaume kamili hauwezi kukaa na kujadili maumbile ya mwanaume mwenzio. Sijui tuna matatizo gani Siku hizi. Hopeless kabisa.Le Mutuz anahoji wanaume wanaokidhalilisha kibamia chake je ni wanaume kweli au Mashoga?