Numero Uno
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 607
- 1,302
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda shule, CAS hata mimi naweza kwenda kufungua kesi viongozi wenu wamewaona nyie mashabiki wajingaHaya muda utaongea, ila Yanga kama akishinda mjiandae kushuka daraja nakukumbusha kwenye ligi Morison kacheza mechi 16.
Viongozi washaelewa ila shida hayo maandazi hayajaivaNenda shule, CAS hata mimi naweza kwenda kufungua kesi viongozi wenu wamewaona nyie mashabiki wajinga
Sasa wewe bonde CAS anakujua nani, ushakula nguna lako na bando lako la chuo unajiona kila mtu upo nae sawa.Nenda shule, CAS hata mimi naweza kwenda kufungua kesi viongozi wenu wamewaona nyie mashabiki wajinga
Nenda shuleSasa wewe bonde CAS anakujua nani, ushakula nguna lako na bando lako la chuo unajiona kila mtu upo nae sawa.
Viongozi ndio kazi bora sisi hoja zetu zimefika CAS na wametusikiliza, vip ile barua aliyo isema Manara mliyo ipeleka FIFA imeishia wapi....
Mnajua kujifariji sana. Kwani kesi ni baina ya Yanga na Simba? Hata mkishinda mtaishia kulipwa fidia tu ya breach of the contract na sio zaidi.Haya muda utaongea, ila Yanga kama akishinda mjiandae kushuka daraja nakukumbusha kwenye ligi Morison kacheza mechi 16.
Kama Yanga wakishinda, ndio utajua kwa nini timu zinazo mchezesha mchezaji aliyekuwa na mkataba na timu nyingine, zina nyang'anywa points.Mnajua kujifariji sana. Kwani kesi ni baina ya Yanga na Simba? Hata mkishinda mtaishia kulipwa fidia tu ya breach of the contract na sio zaidi.
Tumeenda shule ndio maana hata kesi yenu imeonekana ya msingi, vip nyinyi ile barua yenu ya FIFA majibu yanasemaje.......Nenda shule
Ushakazwa kigoma kaa kwa kutulia jamaa ,acha kujifariji kwenye Mambo ya kipuuz.Tumeenda shule ndio maana hata kesi yenu imeonekana ya msingi, vip nyinyi ile barua yenu ya FIFA majibu yanasemaje.......
Na kushindwa itakuwaje??Kama Yanga wakishinda, ndio utajua kwa nini timu zinazo mchezesha mchezaji aliyekuwa na mkataba na timu nyingine, zina nyang'anywa points.
Ni swala lake Morrison mwenyewe ataamua,ila Yanga akishinda hicho kitacho fuata,kupokwa points za mechi zote alizo cheza Morrison nasikia 16,kwa hiyo kama zikitolewa kuna mtu atashuka daraja.Na kushindwa itakuwaje??
Na hili kombe la leo mnapewa 😂😂😂 uto kama watoto vileNi swala lake Morrison mwenyewe ataamua,ila Yanga akishinda hicho kitacho fuata,kupokwa points za mechi zote alizo cheza Morrison nasikia 16,kwa hiyo kama zikitolewa kuna mtu atashuka daraja.
Nyie ndio watoto mmedanganywa na barua yenu ya FIFA.Na hili kombe la leo mnapewa 😂😂😂 uto kama watoto vile
Kama Yanga wakishinda, ndio utajua kwa nini timu zinazo mchezesha mchezaji aliyekuwa na mkataba na timu nyingine, zina nyang'anywa points.
AS VITA na Mazembe, AS alinyanyang'anywa point Mazembe akawa bingwa.Kama timu gani iliwahi kufanyiwa hivyo? Achaneni na kina Nugaz wanawapotosha sana.
1kush bana,eti maandazi hayajaiva[emoji23],,tehe,,tehe!Viongozi washaelewa ila shida hayo maandazi hayajaiva
Sheria inamtaka Morison afanye nini mkishindwa hiyo kesi??Ni swala lake Morrison mwenyewe ataamua,ila Yanga akishinda hicho kitacho fuata,kupokwa points za mechi zote alizo cheza Morrison nasikia 16,kwa hiyo kama zikitolewa kuna mtu atashuka daraja.
AS VITA na Mazembe, AS alinyanyang'anywa point Mazembe akawa bingwa.
Sasa Nugaz kapotosha nini na kesi ipo CAS bado hukumu na tar 29 inasikilizwa.Nyie kipindi fulani 2016/17 mliandika barua kwenda FIFA ili yanga apokonywe ubingwa wa 2016/2017 iliishia wapi.
Ninakumbusha tu.