Uchaguzi 2020 Wakili msomi Dr. Adv. Fidelis C. Mligo achukua fomu Njombe mjini kupitia CCM

Uchaguzi 2020 Wakili msomi Dr. Adv. Fidelis C. Mligo achukua fomu Njombe mjini kupitia CCM

moma2k

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2010
Posts
1,093
Reaction score
1,408
Huyu ni mzaliwa kijiji cha Ihalula au Kisilo huko Njombe. Kada ndakindaki wa CCM. Ni wakili wa kujitegemea, mhadhiri sheria chuo kikuu Iringa.

Mwanateolojia na mwanafalsafa pia. Miaka ya nyuma aliwahi kuwa padre(Dr. Slaa namba 2).

Vajameni mwaka huu tutaona mengi ambayo hayawahi kutokea.
 
Back
Top Bottom