Wakili Mwabukusi anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2025

Wakili Mwabukusi anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2025

Mpaka kitengo kiridhie ,ila mapapasi wa CHADEMA wasahau, wanawake tu wamewashinda itakuwa kuongoza vichwa mchungu vya waTanganyika.

Mi nawashangaa viongozi wa Chadema wanapohutubia mijimacho inawatoka ,sasa wananmtisha nani Mtanganyika?

Wengi wa viongozi wa Chadema wana asili ya Congo.

Hakuna haja ya kutoleana mijicho mnapotuhutubia , leo mnatutolea mijicho ,mkishinda ushaguzi si mtatupiga risasi hazarani.
Papasi mamako
 
Kujua kuongea sana sio kuwa kiongozi Bora, hivi huyu si ndio alihusika na migogoro ya NCCR? Subiri tu anyimwe fomu na CHADEMA za kugombea ubunge ndio utaelewa ni mtu wa aina gani.

Hapaswi kujiunga na chama chochote kilichopo. Aanzishe au ajiunge kwenye chama kipya. Hii nchi ataichukua mapema sana.
 
Hapaswi kujiunga na chama chochote kilichopo. Aanzishe au ajiunge kwenye chama kipya. Hii nchi ataichukua mapema sana.
Alikua Chadema akahamia NCCR so ni MWANASIASA wa kitambo tu hata ukiangalia ule mgogoro wa Mbatia na NCCR alikua akitoa press release za chama Kila wakati. Naona wengi mmemjua wakati wa hili sakata tu!!
 
Huyu jamaa amewaacha mbali wanasiasa karibia wote.

Nikimaanisha kwamba CCM sijaona mtu mwenye ubavu wa kupambana na Mwambukusi, kawaacha mbali wapinzani wote akina Mbowe, Lissu, Lema e.tc

Ukimsikiliza Wakili Mwabukusi ni kama unamsikiliza Magufuli. Uwezo alionao Mwambukusi siyo wa kubeza, jamaa ana kitu ambacho Tanzania inaitaji kiongozi kama yeye.

Haongei blabla kama wanasiasa wengine, jamaa anaongea facts nyingi na zenye uhalisia wa kile anaongea.

Watanzania nawaambieni tumpe nchi Mwambukusi 2025, huyu ndiye mrithi wetu baada ya Magufuli.
Huyu Mwabukusi anaweza akawa dikteta mbaya kama Magufuli maana mijitu mibishi na inayoamini kwamba iko sahihi kila wakati haifai kiutawala
 
Alikua Chadema akahamia NCCR so ni MWANASIASA wa kitambo tu hata ukiangalia ule mgogoro wa Mbatia na NCCR alikua akitoa press release za chama Kila wakati. Naona wengi mmemjua wakati wa hili sakata tu!!
Amewahi hata kugombea ubunge huko kwao Busokelo akaangukia pua. Ubishi ni kitu kimoja na ushawishi wa watu kwa hoja za kiuongozi ni kitu kingine
 
Huyu jamaa amewaacha mbali wanasiasa karibia wote.

Nikimaanisha kwamba CCM sijaona mtu mwenye ubavu wa kupambana na Mwambukusi, kawaacha mbali wapinzani wote akina Mbowe, Lissu, Lema e.tc

Ukimsikiliza Wakili Mwabukusi ni kama unamsikiliza Magufuli. Uwezo alionao Mwambukusi siyo wa kubeza, jamaa ana kitu ambacho Tanzania inaitaji kiongozi kama yeye.

Haongei blabla kama wanasiasa wengine, jamaa anaongea facts nyingi na zenye uhalisia wa kile anaongea.

Watanzania nawaambieni tumpe nchi Mwambukusi 2025, huyu ndiye mrithi wetu baada ya Magufuli.
Daaah Kwa hiyo Mwabukusi umeona uje ujipigie debe mapema hivi
 
Huyu jamaa amewaacha mbali wanasiasa karibia wote.

Nikimaanisha kwamba CCM sijaona mtu mwenye ubavu wa kupambana na Mwambukusi, kawaacha mbali wapinzani wote akina Mbowe, Lissu, Lema e.tc

Ukimsikiliza Wakili Mwabukusi ni kama unamsikiliza Magufuli. Uwezo alionao Mwambukusi siyo wa kubeza, jamaa ana kitu ambacho Tanzania inaitaji kiongozi kama yeye.

Haongei blabla kama wanasiasa wengine, jamaa anaongea facts nyingi na zenye uhalisia wa kile anaongea.

Watanzania nawaambieni tumpe nchi Mwambukusi 2025, huyu ndiye mrithi wetu baada ya Magufuli.
VX VERSION YA NGAPI ANATAKIWA KUKUTANA NAYO?
 
Nani kakuambia kuwa na jazba ndiyo kigezo cha kuwa Rais?

Yaani Tanzania iliyovuka mikononi mwa Dikteta Magufuli irudi kwa takataka nyingine tena!!

Urais ni hekima, kipawa na mvuto. Mijitu ya namna ya Seif Shariff au Mtikila haitufai kwenye uongozi wa watu
Exactly!

Amefeli sana!!

Yuko Analyst mmoja wa Sheria na Ni Mbobezi kama anavyojiita lakini the Guy is so composed and confident!

Huyu Bwana alikuwa kwenye kipindi cha TBC jana punde tu baada ya Taarifa ya Habari ya saa 4 usiku.

Akiongea tu unamwona huyo Mwabukusi wenu kama ni Mwanaharakati na siyo Mwanasheria.

Ukitaka ujue technically yuko Shallow tizama hata Gwiji la Sheria Lisu hakuwepo Mahakamani kwa Sababu Anajua kitu ambacho kingenkuta huyo Bwn!

Mwabukusi anahitaji kutulia na kujenga Heshima yake kama Adv Kibatala.

Slow but sure!
 
Huyu jamaa amewaacha mbali wanasiasa karibia wote.

Nikimaanisha kwamba CCM sijaona mtu mwenye ubavu wa kupambana na Mwambukusi, kawaacha mbali wapinzani wote akina Mbowe, Lissu, Lema e.tc

Ukimsikiliza Wakili Mwabukusi ni kama unamsikiliza Magufuli. Uwezo alionao Mwambukusi siyo wa kubeza, jamaa ana kitu ambacho Tanzania inaitaji kiongozi kama yeye.

Haongei blabla kama wanasiasa wengine, jamaa anaongea facts nyingi na zenye uhalisia wa kile anaongea.

Watanzania nawaambieni tumpe nchi Mwambukusi 2025, huyu ndiye mrithi wetu baada ya Magufuli.
Kila mmoja wetu ana viatu saizi yake...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku wakili Mwabukusi akiwa na mawazo tofauti hatofaa tena kuwa Rais,mtamtukana humu mitandaoni mpaka atajuta.
 
Huyu jamaa amewaacha mbali wanasiasa karibia wote.

Nikimaanisha kwamba CCM sijaona mtu mwenye ubavu wa kupambana na Mwambukusi, kawaacha mbali wapinzani wote akina Mbowe, Lissu, Lema e.tc

Ukimsikiliza Wakili Mwabukusi ni kama unamsikiliza Magufuli. Uwezo alionao Mwambukusi siyo wa kubeza, jamaa ana kitu ambacho Tanzania inaitaji kiongozi kama yeye.

Haongei blabla kama wanasiasa wengine, jamaa anaongea facts nyingi na zenye uhalisia wa kile anaongea.

Watanzania nawaambieni tumpe nchi Mwambukusi 2025, huyu ndiye mrithi wetu baada ya Magufuli.
ukweli mchungu, nikiongea fairly kabisa leo, Mwabukusi hajaungwa mkono na watanzania vya kutosha. watu wanamuunga tu mkono kwa maneno na kwenye social media ila kwa vitendo yupo peke yake. hata chadema hawapo nyuma yake na ukimwangalia mwabukusi unaona kabisa usoni kwake jinsi anavyojiona ametelekezwa, hii vita anapigana peke yake na itamshinda au atakata tamaa njiani. tatizo lingine ni kwamba, zamani alikuwa chadema akahamia nccr mageuzi ambayo yeye anasema imeporwa, pale nccr mageuzi hakuna aliye nyuma yake, yaani ni individual person anapigana vita peke yake kabisa. huu ndio ukweli mchungu. na uwakili watamnyang'anya na atakuwa hana kazi, njaa itamuumiza na watanzania wataishia tu kumpa pole na kumcheka. hivyo ndivyo watanzania walivyo.
 
Back
Top Bottom