Wakili Mwabukusi: Bunge halitakiwi kukwepa hoja ya utekaji

Wakili Mwabukusi: Bunge halitakiwi kukwepa hoja ya utekaji

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Rais wa Chama cha Mawakili Tanzania (TLS), Boniface Mwabukusi amesema Bunge lina wajibu wa kuruhusu mjadala wa suala la utekaji kujadiliwa ndani ya Bunge bila kujali kuna mambo ya kiufundi ambayo yanakwamisha hilo, amezungumza hayo wakati anahojiwa na Kituo cha Crown FM.
 
Ifikie hatua kama wananchi tunapochagua watu wa kutuwakilisha bungeni tuchague watu wenye akili timamu na watu wanaowajibika kwa wananchi. Hili ndilosolution ya matatizo kama haya.

Tuna ombwe kubwa sana la uongozi. Imefikia hatua kuna baadhi ya watu hawakustahili hata kuongoza mifugo leo hii wana nyadhifa kubwa na nyeti kwenye Taifa. Matokeo yake Tunaongozwa kichawi kichawi.

hakuna kitu kibaya kwenye maisha kama kuchezea UHAI wa binadamu mwenzio aidha kwa tofauti ya kidini, kisiasa, au kwanamna yoyote ile..

Leo hii mahakama, Bunge, polisi, wameziba masikio hawataki kujua nini kinatokea! Swali Nani mhusika yupo nyuma ya haya?
 
Rais wa Chama cha Mawakili Tanzania (TLS), Boniface Mwabukusi amesema Bunge lina wajibu wa kuruhusu mjadala wa suala la utekaji kujadiliwa ndani ya Bunge bila kujali kuna mambo ya kiufundi ambayo yanakwamisha hilo, amezungumza hayo wakati anahojiwa na Kituo cha Crown FM.
TLS imechukua nafasi ya makanisa, misikiti, bunge na mahakama, good
 
Ifikie hatua kama wananchi tunapochagua watu wa kutuwakilisha bungeni tuchague watu wenye akili timamu na watu wanaowajibika kwa wananchi. Hili ndilosolution ya matatizo kama haya.

Tuna ombwe kubwa sana la uongozi. Imefikia hatua kuna baadhi ya watu hawakustahili hata kuongoza mifugo leo hii wana nyadhifa kubwa na nyeti kwenye Taifa. Matokeo yake Tunaongozwa kichawi kichawi.

hakuna kitu kibaya kwenye maisha kama kuchezea UHAI wa binadamu mwenzio aidha kwa tofauti ya kidini, kisiasa, au kwanamna yoyote ile..

Leo hii mahakama, Bunge, polisi, wameziba masikio hawataki kujua nini kinatokea! Swali Nani mhusika yupo nyuma ya haya?
Ndugu yangu, mwaka 2020 kuna Mbunge aliye chaguliwa!? Au walitangazaa tu kwakua waligombea kupitia chama cha Jiwe!?

Lakini pia kuna clip inapita anasikika Spika wa Bunge akihamasisha wanaccm wenzie kwamba yeyote atakaye pingana na Rais walale naye mbele, maana ya kulala naye mbele ni pana sana hata kutekwa ni sehemu ya kulala na MTU mbele. Kuna kiongozi wa UVCCM naye anasikika kwamba yeyote atakaye patokana anakosoa kosaoa viongozi watampoteza na Polisi wasiingilie kati, watu wanashangilia. Katika mazingira ambayo Spika mwenyewe anahamasisha wanachama wake kulala mbele na yeyote atakaye mpinga Rais unatarajia nini!?
 
Rais wa Chama cha Mawakili Tanzania (TLS), Boniface Mwabukusi amesema Bunge lina wajibu wa kuruhusu mjadala wa suala la utekaji kujadiliwa ndani ya Bunge bila kujali kuna mambo ya kiufundi ambayo yanakwamisha hilo, amezungumza hayo wakati anahojiwa na Kituo cha Crown FM.
Huyu Mwabukusi ni mtetezi wa chadema
 
Ndugu yangu, mwaka 2020 kuna Mbunge aliye chaguliwa!? Au walitangazaa tu kwakua waligombea kupitia chama cha Jiwe!?

Lakini pia kuna clip inapita anasikika Spika wa Bunge akihamasisha wanaccm wenzie kwamba yeyote atakaye pingana na Rais walale naye mbele, maana ya kulala naye mbele ni pana sana hata kutekwa ni sehemu ya kulala na MTU mbele. Kuna kiongozi wa UVCCM naye anasikika kwamba yeyote atakaye patokana anakosoa kosaoa viongozi watampoteza na Polisi wasiingilie kati, watu wanashangilia. Katika mazingira ambayo Spika mwenyewe anahamasisha wanachama wake kulala mbele na yeyote atakaye mpinga Rais unatarajia nini!?
Imeuweka vizuri.
 
Rais wa Chama cha Mawakili Tanzania (TLS), Boniface Mwabukusi amesema Bunge lina wajibu wa kuruhusu mjadala wa suala la utekaji kujadiliwa ndani ya Bunge bila kujali kuna mambo ya kiufundi ambayo yanakwamisha hilo, amezungumza hayo wakati anahojiwa na Kituo cha Crown FM.
Wakati wa JPM maiti zaidi ya mia moja ziliokotwa pale Coco Beach na hatukuona mjadala wowote ukifanyika humo bungeni.

Huyo Mwabukusi anayo haki ya kuongea hivyo ni kiongozi wa taasisi ya kisheria iliyomuweka madarakani kwa kura zaidi ya 1500.
 
Ifikie hatua kama wananchi tunapochagua watu wa kutuwakilisha bungeni tuchague watu wenye akili timamu na watu wanaowajibika kwa wananchi. Hili ndilosolution ya matatizo kama haya.

Tuna ombwe kubwa sana la uongozi. Imefikia hatua kuna baadhi ya watu hawakustahili hata kuongoza mifugo leo hii wana nyadhifa kubwa na nyeti kwenye Taifa. Matokeo yake Tunaongozwa kichawi kichawi.

hakuna kitu kibaya kwenye maisha kama kuchezea UHAI wa binadamu mwenzio aidha kwa tofauti ya kidini, kisiasa, au kwanamna yoyote ile..

Leo hii mahakama, Bunge, polisi, wameziba masikio hawataki kujua nini kinatokea! Swali Nani mhusika yupo nyuma ya haya?
Shisa majimboni watu wanahogwa kanga, Tshirt na kofia
 
Kuna



Kuna sehemu kaitaja Chadema? Kwahiyo mawakili wote waliompa kura ni wafuasi wa Chadema? Basi Chadema ina watu/vichwa.
Huyo ni mwanasiasa kwa kuifuatilia historia yake. Aligombea ubunge jimbo mojawapo kule Mbeya mwaka 2020 akashindwa na hata misimamo yake ni ushahidi kwamba ni mwanachama wa CHADEMA.
 
Rais wa Chama cha Mawakili Tanzania (TLS), Boniface Mwabukusi amesema Bunge lina wajibu wa kuruhusu mjadala wa suala la utekaji kujadiliwa ndani ya Bunge bila kujali kuna mambo ya kiufundi ambayo yanakwamisha hilo, amezungumza hayo wakati anahojiwa na Kituo cha Crown FM.
Bunge la Mwendazake na historia ya namna lilivyopatikana unadhani linaweza kujadili hilo Swala?
 
Back
Top Bottom