Wakili Mwabukusi: Bunge halitakiwi kukwepa hoja ya utekaji

Wakili Mwabukusi: Bunge halitakiwi kukwepa hoja ya utekaji

Uliwahi kusikia au kuambiwa kuwa Mwalimu Nyerere aliuita utekaji na raia kupotezwa kuwa ni "DRAMA"?

Kiongozi wa nchi, ataanzia wapi kuita matukio ya watu kutekwa na kuuawa kuwa ni 'Drama'!
Hili pekee linaonyesha kichwani ni patupu kabisa.

Huyo spika ni mmoja wa watu wa hovyo. Yeye kuelekeza Waziri Mkuu kujibu ni kumdharau huyo Waziri Mkuu mwenyewe.
Hawezi kumdharau Waziri Mkuu kumbuka mle ndani ni bungeni na kila mtu anayo mipaka yake. Hawezi kutanguliza kuheshimu cheo cha Waziri Mkuu halafu akaacha taratibu za uendeshaji wa bunge zijiendee tu, heshima yake kama spika itapotea kabisa.

Kila Spika kuanzia Msekwa mpaka huyu Tulia hutukanwa na kudharauliwa kwa sababu siku zote kwa mitazamo yetu yenye upungufu mwingi tungependa kuona Spika akifanya kazi vile tunavyodhani ndio anavyopaswa.

Tuna mitazamo yenye upungufu inapotazamwa kisheria na kikanuni.
 
Waliomo bungeni wana uchungu na taifa hili kuliko wewe unayesubiri makosa ndio ukosoe. Hakuna anayeweza kumdhalilisha waziri mkuu mahali popote hapa Tanzania.

Lakini mle bungeni mkubwa kuliko wote ni Spika, na yale ni masuala ya kikazi. Ukiyatazama kiudaku ndio unaweza kusema kuwa Spika kamdhalilisha Waziri Mkuu.
Na bado huelewi. Sijui watu wa aina yako hadi muambiwe vipi ndio uelewe.
Mosi: Ukiniambia "Mle Bungeni kuna watu wenye uchungu na taifa hili..." kuliko uchungu walio nao juu ya maslahi yao binafsi, nitakuona wewe kichwani hazitoshi; na samahani sana kutumia lugha hii, kwa sababu wewe na mimi tunaelewana vizuri kupitia humu humu JF. Sijui kama utanielewa, kwa sababu wewe hapo unasukumwa na hali hiyo hiyo ya hao wabunge.

Pili, kuwa kiongozi wa Bunge haina maana umpangie majibu unaye mwongoza humo Bungeni. Spika kazi yake si kumwelekeza Waziri Mkuu ajibu vipi. Kama huko si kumdhalilisha wewe unakuita kuwa kitu gani?
 
Na bado huelewi. Sijui watu wa aina yako hadi muambiwe vipi ndio uelewe.
Mosi: Ukiniambia "Mle Bungeni kuna watu wenye uchungu na taifa hili..." kuliko uchungu walio nao juu ya maslahi yao binafsi, nitakuona wewe kichwani hazitoshi; na samahani sana kutumia lugha hii, kwa sababu wewe na mimi tunaelewana vizuri kupitia humu humu JF. Sijui kama utanielewa, kwa sababu wewe hapo unasukumwa na hali hiyo hiyo ya hao wabunge.

Pili, kuwa kiongozi wa Bunge haina maana umpangie majibu unaye mwongoza humo Bungeni. Spika kazi yake si kumwelekeza Waziri Mkuu ajibu vipi. Kama huko si kumdhalilisha wewe unakuita kuwa kitu gani?
Hawezi spika kumdhalilisha waziri mkuu, huo ndio ukweli. Mle bungeni waziri mkuu ni mdogo kimamlaka kuliko spika.

Spika anapotumia madaraka yake kuna kosa lolote?. Na huyu sio wa kwanza na wala hatakuwa wa mwisho kutumia vyema kiti chake.
 
Spika anapotumia madaraka yake kuna kosa lolote?
Madaraka yake (spika), kwa kumpa majibu waziri mkuu anayotaka ayawasilishe yeye?
Hapa hakuna swala la kuwa mtu mkubwa au mdogo Bungeni. Spika hana madaraka ya kumtaka mbunge au Waziri Mkuu akubali majibu anayopewa na spika ayawasilishe. Spika hana mamlaka yoyote juu ya hilo.
 
Madaraka yake (spika), kwa kumpa majibu waziri mkuu anayotaka ayawasilishe yeye?
Hapa hakuna swala la kuwa mtu mkubwa au mdogo Bungeni. Spika hana madaraka ya kumtaka mbunge au Waziri Mkuu akubali majibu anayopewa na spika ayawasilishe. Spika hana mamlaka yoyote juu ya hilo.
Siamini kwamba waziri mkuu anaweza kukosa uhuru wake kama waziri mkuu ni suala la uelewa wetu mdogo juu ya suala husika.
 
Awe au asiwe, huyo binti hazimtoshi kabisa kichwani, na pengine ndiyo sababu Magufuli alimuibua alikokuwa kabla ya yote.
Yupo vizuri sana kuliko hata Ndugai. Ni mtaalam wa sheria wa kiwango cha udaktari. Naamini wewe uelewa wako kuhusu anachokifanya bungeni ni mdogo kiasi cha kudhani anampangia waziri mkuu nini cha kuwasilisha.
 
Back
Top Bottom