Wakili Mwabukusi: IGP hatukuogopi, upo hapo kikatiba na kisheria, ukitaka siasa vua magwanda njoo jukwaani

Mkuu regardless jamaa ana Serve for his Future interest, Ila mwamba ana Deserve sana uko mbele, Ameonesha ujasili Mkubwa sana na Uzalendo, May God be with him, Tunamuombea sana
Huyo hana lolote alikosa ubunge, sasa kaanza kampeni kijinga, kutafuta "sympathy", watu wameshamstukia, hana jipya.

Ni mjinga mmoja tu.
 
Ifike mahali hawa viongozi wa dola waambiwe ukweli.

Hili tamko liko sawa
 
Jamaa ka kaza mpaka studdy zinata kukatika[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Duuh! Huyu Mwamba Huyu. Apewe Maua Yake Ayanuse Mapema.

Maana Naona Si Muda Mrefu Wanaweza Wakamzima. Na Kama akishinda Battle Ya Chama Na Serikali Kwa Kweli Atastahili Kupewa Position Kubwa Hapa Tz Miaka Ijayo Kama Reward Ya Uzalendo Wake.
MUNGU Mwenyezi atamlinda. Amen.



Yesu ni Bwana
 
Duuh! Huyu Mwamba Huyu. Apewe Maua Yake Ayanuse Mapema.

Maana Naona Si Muda Mrefu Wanaweza Wakamzima. Na Kama akishinda Battle Ya Chama Na Serikali Kwa Kweli Atastahili Kupewa Position Kubwa Hapa Tz Miaka Ijayo Kama Reward Ya Uzalendo Wake.
Huyu jamaa ana roho ya kimagufuri magufuri
 
Duuh! Huyu Mwamba Huyu. Apewe Maua Yake Ayanuse Mapema.

Maana Naona Si Muda Mrefu Wanaweza Wakamzima. Na Kama akishinda Battle Ya Chama Na Serikali Kwa Kweli Atastahili Kupewa Position Kubwa Hapa Tz Miaka Ijayo Kama Reward Ya Uzalendo Wake.

Nikadhani unashauri apewe hiyo nafasi kubwa ili atuvushwe kwenda kwenye neema zaidi kumbe ni zawadi tu ili apate kipande cha cake? Ikijaa mdomoni ataweza kuongea vizuri tena?



Uzalendo una maana gani kwako ndugu?






Wakili BM ana hoja yenye nguvu sana, ijibiwe.
 

Huyu Mama Tanzania ni Mzee wa fursa, katokea Mbeya tena.
 
Bibi kwanini usibaki kule kwenye Uzi wako wa mapambio wa RRRR, mana uzi huu unakukataa Unapwaya sana apa
Hapa nimepitia kuwajulisha watu kuwa huyo mshamba alikosa ubunge, sasa ni kama nyoka aliyejeruhiwa, anautafuta kwa kila hali.
 
Waliokaa KIMYA ndiyo waleta uhuru NCHI hii walivuja jasho na damu kumwondoa mzungu mweupe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…