Kama kila mmoja anamkataa basi si muda tu ndio utasema na hao wapiga Kura watamkataa ? Au tunawachukulia uamuzi wapiga Kura ?, Ukizingatia sisi wasemaji wengine hata Kura hatupigi....
Sababu hapa kama issue ni TATIZO la wapiga Kura / Upigaji Kura, Wizi au System iliyopo basi kubadilisha aliyepo juu hakutabadilisha ubovu wa hio System (Na sidhani kama kubadilisha mtu ndio kipimo cha Demokrasia, unaweza ukawa unabadilisha makapi every so often au kuondoa anayefaa wakati bado anahitajika) Ukizingatia wapiga Kura ndio wanaelewa (unless hawaelewi); Pia kama aliyepo Juu ana nguvu kubwa kuliko wengine waliopo chiji at any given time basi hio sio Demokrasia bali ni Dictatorship (Na sidhani yoyote atakayechukua hiki kiti atabadilisha that fact)
Kinadharia Demokrasia ni Nguvu ya UMMA; ila kiuhalisia kuna utofauti mkubwa sana kutokana na ugumu katika utendaji au kwa ujanja na makusudi ya mifumo ambayo inanufaisha Status Quo Je Demokrasia tunayotegemea imebakia kwenye Kuchagua watu wa Kutuamulia mambo au Kuchagua watu wa kuwakilisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.