Wakili Mwakabusi atoa wito kwa Spika wa Bunge na Mbarawa wajiuzulu kutokana na mkataba wa DPW

Hao hawastahili kujiuzulu tuu bali kuuawa kwa kulisaliti taifa kwa vipande vya fedha.
 
upuuzi mtupu.
hizo pesa wanazo tumia mawakili ni bora wange chimba visima wananchi wapate maji kuliko kupoteza muda na pesa.
Wanawatetea watoto na wajukuu wako we subiri Acha kejeli
 
Wanawatetea watoto na wajukuu wako we subiri Acha kejeli
hawajui lolote zaidi wanapoteza muda wao na pesa bure.

sisi wananchi tunahitaji uwekezaji kwenye Bandari yetu ili kukuza uchumi wa nchi yetu hao wanao pinga jambo hilo sio raia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…