Wakili Peter Kibatala amuumbua IGP Simon Sirro katika Sakata la kesi ya Freeman Mbowe

Wakili Peter Kibatala amuumbua IGP Simon Sirro katika Sakata la kesi ya Freeman Mbowe

CDM mnatakiwa mzinduke sikuu moja mjue kuwa, kibatala hana uwezo kuwasaidia kesi za mahakamani, zote huwa anadondokea pua, hata ile kesi laini ya sugu na masonga mbeya alidondokea pua. ni mwanasiasa tu lakini uwezo wa sheria hana.

Mtu pekee aliyekuwa anawasaidia alikuwa Tundu lisu, huyo ana uwezo mkubwa sana mahakamani, tafuteni wengine, hata kina john malya tu ambao wao hawaongei ongei, vitendo wanavifanya, Kibatala tangu asome kadigrii kake "Mzumbe" ka miaka 3 na kubambiabambia analoliweza ni siasa za mahakamani tu.

Kwa wanaomjua vizuri akiwa mahakamani, ana emotions mno anawaka mno hatoi hoja, ni mlopokaji tu tofauti na wanasheria wenye akili. BADILISHENI MWANASHERIA, MTAKUJA KUNISHUKURU.
Character assassination, kwanini ushambulie taaluma ya mtu?? Na unadhani kazi ya wakili ni kushinda kesi mahakamani?? Au unadhani wakili mzuri anapimwa kwa kushinda kesi mahakamani?? Usijigeuze afisa masoko wa mawakili unaowapenda wewe,hairuhusiwi katu.
 
Dear Mr. IGP, Esq; Simon Sirro

1. When a matter is in Court, U are no longer the spokesperson in terms of the charges, or the evidence to be adduced in that regard. U, and those subordinate to U, of whom we will cherish the opportunity to cross-examine thoroughly, are just witnesses. The DPP's Office prosecutes, and it ought to be spokes-institution in the matter; if at all such a need is logically and legally necessary when they have notified the Court that investigation is complete and we expect the judicial process to take its course. Mbowe will tell his story, too; do not forget that.

Unasema suala lipo Mahakamani; And yet unaenda kwenye contents in a Press Conference 🤷‍♂️.

Anyways; Thank U for making Urself eligible to be summoned by us.

2. Nimesikia unasema watu wakamuulize Mbowe awaambie ukweli; do U also mean waende wakawaulize wale vijana waliokuwa wanajeshi wa zamani, ambao wanashtakiwa pamoja na Mbowe, namna walivyotuambia sisi Mawakili kwamba waliteswa sana kabla ya kufikishwa Mahakamani? Mmoja wa hao vijana anasema hawezi hata kutembea vyema (ni kama amepata ulemavu) kwa sababu hiyo, na mwingine ametuonesha kile anachosema ni makovu aliyoyapata kutokana na mateso makali wakati wa mahojiano. Did U mean they should also have the opportunity to air their grievances of torture at this moment in time; to say that they were pressurized into implicating Mbowe, something they steadfastly refused to do?

I mean; what is good for the goose, must be good for the gander.

3. I am sure, upon reflection, U will find that Ur Presser was a contradiction in terms, inopportune and very ill-advised; and that the professional thing for U to do was to muster Ur witnesses and bring them to Court, where they will meet us fully prepared.
Nikimkumbuka huyo ZIRRO ambaye ni mkubwa wa mapolisi nabaki nacheka....Hivi kweli kwanza zile sarakasi za kumteka MO Dewji ziliishaje? Na zile CCTV za kufoji? Huyu polisi mkubwa anajishusha sana na ujinga anaofanya. Ni aibu
 
Watendaji wote wanafanya kazi kichama,wanaloambiwa ndilo wanalofanya bila kujali wako pale kwa muda tu
 
Hawa ndio mawakili walioenda shule na wakaelimika, na ndio wanaopaswa kuitwa "wakili msomi".

Polisi mkuu anaizungumzia kesi ambayo ipo mahakamani na yeye ndiye shahidi!!
Only in Tanzania!
Tena akiwa amepanic as if kamkamata kiongozi wa Alshabab! kumbe ni mtu wa watu
 
Mambo ya usalama wa ndani ya nchi yatabaki kuwa ya nchi.
Tanzania is a sovereign coutry.
ila Chadema hakikufaa kabisaa kuwa chama cha upinzani nchini Tanzania kwa tabia ya mara kwa mara wanayo ionyesha inapo tokea jambo lolote basi wanaenda kuichongea Tanzania kwa mataifa makubwa wakitegemea Viongozi wetu wataogopa!! thubutu!!!! kamwe tusivumilie tabia hii ya kizandiki!!! labda wakafanye siasa zao Burundi lkn sio Tz..
Tunaomba viongozi wetu wasiyumbe kabisa, wawe imara kusimamia sheria za nchi.
Demokrasia sio kuvunja amani.
 
Siro niliyemjua, alikuwa smart Sana! Nashindwa kujua ninini wataalam na wasomi wetu huwa wanakutana nacho wakisha funga ndoa na CCM. Maana wanageuka kuchekesho na na wa hovyo isivyoelezeka.!
Akili zinahamia tumboni😆😆😆
 
Baada ya kuahidiwa ubunge baada ya kustaafu utu uhuweka nyuma.
Kumbuka hawawezi ishi nje ya mshahara wakistaaafu hawa hata wakipewa bilioni 10 miezi 6 tu zimeisha.
Njia salama ni kujipendekeza kwa ccm ije iwaonee huruma.
 
Dear Mr. IGP, Esq; Simon Sirro

1. When a matter is in Court, U are no longer the spokesperson in terms of the charges, or the evidence to be adduced in that regard. U, and those subordinate to U, of whom we will cherish the opportunity to cross-examine thoroughly, are just witnesses. The DPP's Office prosecutes, and it ought to be spokes-institution in the matter; if at all such a need is logically and legally necessary when they have notified the Court that investigation is complete and we expect the judicial process to take its course. Mbowe will tell his story, too; do not forget that.

Unasema suala lipo Mahakamani; And yet unaenda kwenye contents in a Press Conference [emoji2369].

Anyways; Thank U for making Urself eligible to be summoned by us.

2. Nimesikia unasema watu wakamuulize Mbowe awaambie ukweli; do U also mean waende wakawaulize wale vijana waliokuwa wanajeshi wa zamani, ambao wanashtakiwa pamoja na Mbowe, namna walivyotuambia sisi Mawakili kwamba waliteswa sana kabla ya kufikishwa Mahakamani? Mmoja wa hao vijana anasema hawezi hata kutembea vyema (ni kama amepata ulemavu) kwa sababu hiyo, na mwingine ametuonesha kile anachosema ni makovu aliyoyapata kutokana na mateso makali wakati wa mahojiano. Did U mean they should also have the opportunity to air their grievances of torture at this moment in time; to say that they were pressurized into implicating Mbowe, something they steadfastly refused to do?

I mean; what is good for the goose, must be good for the gander.

3. I am sure, upon reflection, U will find that Ur Presser was a contradiction in terms, inopportune and very ill-advised; and that the professional thing for U to do was to muster Ur witnesses and bring them to Court, where they will meet us fully prepared.
Haya maelezo hayazuii mtuhumiwa kukutwa na tuhuma za ku_finance Ugaidi. Kesi iko palepale. Kapambaneni Mahakamani.
 
Sirro ni mwanasheria pia, anajua anachokisema!
Sirro ni mkamataji akishakamata anampelekea mwendesha mashitaka hapo ndipo kazi yake inapoishia. Sirro hatakiwi kuendesha kesi na kutoa uamuzi dhidi ya mtuhumiwa, huko ni kuishawishi mahakama ukizingatia yeye na hakimu wote huapishwa na Rais na hicho ndicho kilichomfanya Rais naye azungumzie uhalifu(sic) wa Mbowe! Swali, huyo ni mwanasheria au mwanasiasa?
 
Mambo ya usalama wa ndani ya nchi yatabaki kuwa ya nchi.
Tanzania is a sovereign coutry.
ila Chadema hakikufaa kabisaa kuwa chama cha upinzani nchini Tanzania kwa tabia ya mara kwa mara wanayo ionyesha inapo tokea jambo lolote basi wanaenda kuichongea Tanzania kwa mataifa makubwa wakitegemea Viongozi wetu wataogopa!! thubutu!!!! kamwe tusivumilie tabia hii ya kizandiki!!! labda wakafanye siasa zao Burundi lkn sio Tz..
Tunaomba viongozi w mnaetu wasiyumbe kabisa, wawe imara kusimamia sheria za nchi.
Demokrasia sio kuvunja amani.
Sasa wanakijani mnalalama nini, mkitaka ache uovu wenu, hamtasemwa na yeyote.
 
Dear Mr. IGP, Esq; Simon Sirro

1. When a matter is in Court, U are no longer the spokesperson in terms of the charges, or the evidence to be adduced in that regard. U, and those subordinate to U, of whom we will cherish the opportunity to cross-examine thoroughly, are just witnesses. The DPP's Office prosecutes, and it ought to be spokes-institution in the matter; if at all such a need is logically and legally necessary when they have notified the Court that investigation is complete and we expect the judicial process to take its course. Mbowe will tell his story, too; do not forget that.

Unasema suala lipo Mahakamani; And yet unaenda kwenye contents in a Press Conference [emoji2369].

Anyways; Thank U for making Urself eligible to be summoned by us.

2. Nimesikia unasema watu wakamuulize Mbowe awaambie ukweli; do U also mean waende wakawaulize wale vijana waliokuwa wanajeshi wa zamani, ambao wanashtakiwa pamoja na Mbowe, namna walivyotuambia sisi Mawakili kwamba waliteswa sana kabla ya kufikishwa Mahakamani? Mmoja wa hao vijana anasema hawezi hata kutembea vyema (ni kama amepata ulemavu) kwa sababu hiyo, na mwingine ametuonesha kile anachosema ni makovu aliyoyapata kutokana na mateso makali wakati wa mahojiano. Did U mean they should also have the opportunity to air their grievances of torture at this moment in time; to say that they were pressurized into implicating Mbowe, something they steadfastly refused to do?

I mean; what is good for the goose, must be good for the gander.

3. I am sure, upon reflection, U will find that Ur Presser was a contradiction in terms, inopportune and very ill-advised; and that the professional thing for U to do was to muster Ur witnesses and bring them to Court, where they will meet us fully prepared.
Simuoni Ziro hapo!

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom