econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
ATAHENYA SI ANAJIFANYA MJANJA?WAKILI MSOMI M HAHAHAHAHAA
Sio mara yake ya kwanza kukamatwa. Amekaa Sana ndani kipindi Cha nyuma. Halafu ni ujinga kufurahia mteaji haki kisumbiliwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ATAHENYA SI ANAJIFANYA MJANJA?WAKILI MSOMI M HAHAHAHAHAA
Wafuasi Wa Chadema Wanajivunia Free madeleka wenzao wanateseka huko mahabusu wao wamekalia X free free mdudu chadomo, wakat jamaa anakula marungu huko. 😅😅
Wakikuwepo wenye kiburi zaidi yako akina Kheri James na kina Sabaya.Wafuasi Wa Chadema Wanajivunia Free madeleka wenzao wanateseka huko mahabusu wao wamekalia X free free mdudu chadomo, wakat jamaa anakula marungu huko. 😅😅
wanawapaga matumaini kama wako pamoja kumbe wenzao wana akili wako nnyumbani yeye anakula msoto sijui kwa manufaa ya nani?upumbavu usio na kifani huu
We endelea kulalia Sofa apo kwenu na akili zako kama za KukuATAHENYA SI ANAJIFANYA MJANJA?WAKILI MSOMI M HAHAHAHAHAA
Majinga ni wewe na mamayenuYule alikuwa afisa wa polisi naona wako naye kimfumo tu , chadema ni wajinga wa kung'amua mabomu
USSR
Kwan kosa langu nini kiongozi ?😅😅Mdude kashatoka wewe mchawi usie na aibu. Unataka CHADEMA wakuelezee kila hatua wanayofanya.
Me sina cheo chochote mbona nalima zangu korosho huku kusin tu au hili jukwaa wengne haturuhusiwi kutoa maon yetu ?😅😅Wakikuwepo wenye kiburi zaidi yako akina Kheri James na kina Sabaya.
Akili za kijinga dogoYule alikuwa afisa wa polisi naona wako naye kimfumo tu , chadema ni wajinga wa kung'amua mabomu
USSR
Ina maana watu wenye AKILI NA MATUMIZI SAHIHI YA AKILI ZAO WOOTE NI WANA CHADEMA?Yule alikuwa afisa wa polisi naona wako naye kimfumo tu , chadema ni wajinga wa kung'amua mabomu
USSR
CHADEMA imeingiaje hapo?Yule alikuwa afisa wa polisi naona wako naye kimfumo tu , chadema ni wajinga wa kung'amua mabomu
USSR
Polisi na mafwele wamebadili mbinu ya utekajiWakuu,
Mwanaharakati na mwanamitandao maarufu nchini Martin Maranja Masese amedokeza Wakili maarufu Tanzania Peter anashikiliwa na Jeshi La Polisi.
Wakili Madeleka anashikiliwa na Central Police - Dar es Salaam kwa tuhuma za makosa ya mtandao ambayo hajaelezwa. Mapema leo aliitwa polisi kwamba akajadiliane na ZCO katika shauri lake lingine na mteja wake, alipofika amehojiwa kwa makosa ya mtandao. Peter, amenyimwa dhamana.
Ikumbukwe kwa muda mfupi kabla ya taarifa hii kutoka kwa Martin, Madeleka kupitia akaunti ya X alidokeza kuwa aliitwa kituoni na ZCO wa Dar Es Salaam, Faustine Mafwele kwa ajili ya Mashauriano
Kumtaja Mafwele ZCO wa DSM ni mbaya?
Nani alikuambia mahabusu madeleka anakula marungu?Wafuasi Wa Chadema Wanajivunia Free madeleka wenzao wanateseka huko mahabusu wao wamekalia X free free mdudu chadomo, wakat jamaa anakula marungu huko. 😅😅
Siyo mfuasi wala mwanachama wa CHADEMAKwani Madeleka ni mwnachama wa chadema?
Mafwele naye atapita tuIt was a matter of time .