Wakili Peter Madeleka aripotiwa kushikiliwa na Jeshi La Polisi muda mfupi baada ya kutangaza kupokea simu ya Faustine Mafwele

Wakili Peter Madeleka aripotiwa kushikiliwa na Jeshi La Polisi muda mfupi baada ya kutangaza kupokea simu ya Faustine Mafwele

Wafuasi Wa Chadema Wanajivunia Free madeleka wenzao wanateseka huko mahabusu wao wamekalia X free free mdudu chadomo, wakat jamaa anakula marungu huko. 😅😅

Mdude kashatoka wewe mchawi usie na aibu. Unataka CHADEMA wakuelezee kila hatua wanayofanya.
 
wanawapaga matumaini kama wako pamoja kumbe wenzao wana akili wako nnyumbani yeye anakula msoto sijui kwa manufaa ya nani?upumbavu usio na kifani huu

Wewe ndio mpumbavu. Mbona CHADEMA huwa inatoa mawakili kusaidia wanachama wake?. Very stupid idiot. Usipende kuongea kitu usichokijua. Raha yako kila mtu awe chawa kama wewe?.
 
Wakuu,

Mwanaharakati na mwanamitandao maarufu nchini Martin Maranja Masese amedokeza Wakili maarufu Tanzania Peter anashikiliwa na Jeshi La Polisi.

Wakili Madeleka anashikiliwa na Central Police - Dar es Salaam kwa tuhuma za makosa ya mtandao ambayo hajaelezwa. Mapema leo aliitwa polisi kwamba akajadiliane na ZCO katika shauri lake lingine na mteja wake, alipofika amehojiwa kwa makosa ya mtandao. Peter, amenyimwa dhamana.

Ikumbukwe kwa muda mfupi kabla ya taarifa hii kutoka kwa Martin, Madeleka kupitia akaunti ya X alidokeza kuwa aliitwa kituoni na ZCO wa Dar Es Salaam, Faustine Mafwele kwa ajili ya Mashauriano

Polisi na mafwele wamebadili mbinu ya utekaji

Wanakuita then wanakuweka mahabusu bila dhamana

Hongera sana igp wambura kwa ubunifu
 
Wafuasi Wa Chadema Wanajivunia Free madeleka wenzao wanateseka huko mahabusu wao wamekalia X free free mdudu chadomo, wakat jamaa anakula marungu huko. 😅😅
Nani alikuambia mahabusu madeleka anakula marungu?
Si mara ya kwanza madeleka kwenda huko, na yule alikuwa afisa wa polisi mambo hayo si mageni kwake
 
Kituo cha polisi kati hii sijui ndo nini
Waandishi na tafsiri za kijinga kutoka kwenye neno central police
 
Back
Top Bottom