Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
maafande gani haoNaskia maafande hawajakutwa na hatia, na tayari wamwachiwa huru
Uponyuma ya muda mkuu...😶maafande gani hao
au unaongelea wale waliokamata dadapoaUponyuma ya muda mkuu...😶
Ndio mkuuau unaongelea wale waliokamata dadapoa
Naskia maafande hawajakutwa na hatia, na tayari wamwachiwa huru
Mimi nilishangaa hii huruma ya wakili kufungua kesi kwa gharama zake!
Kumbe alikuwa anataka "kutupiga" michango yetu!
Basi minilijua inaamuliwa kama ugomvi tu..☹️Ubakie kusikia pekee tu. Kesi haiamuliwi kwa style hiyo.
Hamna wakili paleUshamba sijui ulimbukeni au ujinga sijui kipi kinatusumbua
Alikuwa anakuza jina na ameangusha jina mwenyewe kwa ukurupukaji wake.
Wasomi ndio hawa 🤔
Ndio hawa hawa na wengine wapo BenchWasomi ndio hawa 🤔