Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Wewe umejinasibu kuwa utafungua kesi kwa gharama zako hadi uhakikishe kesi ya Afande unashinda, watu wakakupongeza sana, leo kesi inatajwa huko Dodoma unapost kwenye page yako kuwa hujaenda kwa sababu huna hela.
Uko serious kweli? Wewe na kiboko ya wachawi mna tofauti gani?
=======
Soma:
Uko serious kweli? Wewe na kiboko ya wachawi mna tofauti gani?
=======
Soma: