Wakili Peter Madeleka: Freeman Mbowe amechanganywa na wafungwa wanaosubiri kunyongwa gerezani

Wakili Peter Madeleka: Freeman Mbowe amechanganywa na wafungwa wanaosubiri kunyongwa gerezani

Wanahangaika tu, hata wamuweke wapi aibu ya mashitaka fake haitowaacha salama.

Hizi zitakuwa ni hasira za kumkataa Jaji wa kimkakati.

sasa mbowe mwenyewe ashaanza kuchagua wakili, anajua alichofanya kwahio kua mpole
 
Hii imenishtusha sana.
Wakili amekwenda kumtembelea mheshimiwa Mbowe huko jela, na cha ajabu amewekwa sehemu ambayo hukaa wafungwa wanaosubiri kunyongwa. Mheshimiwa Mbowe hajahukumiwa mahakama yoyote lakini anakuwa treated vibaya sana.
Kwa kweli huu ni ukatili usio na kifani.
Kosa la mheshimiwa Mbowe ni kudai katiba mpya tu, kitu ambacho kimsingi kipo kwa mujibu wa sheria, maana kuna sheria ya mabadiliko ya katiba ya mwaka 2012.
Kwa kweli sikudhani kuwa serikali hii ingekuwa katili kiasi hiki.
But hebu ngoja tuone mwisho wake.

-----------------------------------------------------

Anaandika Wakili Peter Madeleka

Serikali ya SSH inafanya mambo yasiyokubalika kwa Freeman Aikael Mbowe.

Nilienda gereza la Ukonga na kwa bahati mbaya Sana nilikataliwa kumuona Mbowe Ingawa ninafahamika mimi ni wakili na nimeenda pale kwa mambo ya kisheria.

Kitu Cha ajabu imetolewa amri kutoka sehemu fulani na uongozi wa magereza umemtenga Mbowe na mahabusu wenzake na badala yake amewekwa pamoja na wafungwa wanaosubiri kunyongwa

Hii haikubaliki na ni Lazima kila mtu apige Kelele kwa anachofanyiwa Mbowe

View attachment 1928334
Kama ni kweli basi hii nchi imeshakuwa mali ya shetani. Wacha Mungu tusimchekee nyani! Tuiombee nchi yetu! Sitanii na sizungumzi kiasi. Wazee tuamke hata nyie ambao mnaosinzia amkeni tukemee uovu wa aina hii maana hii siyo Tanzania tuliyoilea. CCM ndiyo iliyotoa ridhaa ya mfumo wa Vyama vingi. CCM bado ipo??
 
Mnaifanya jamiiforums ionekane ni mtandao wa kihuni huni tu.

We unajua utaratibu wa mtu kunyongwa? Unajua kwamba mpaka DC anahusishwa? Acheni uzushi, sio lazima mpost ili mradi mpate likes
Unajua nafanya kazi gan??
 
Kama ni kweli yupo mahali sahihi wafugwa wa condemn wengi ni wasafi vyumba safi,maji safi na wao hua hmna vurugu kule ndan kwao sema wapo kimya mawazo ila huku changanyikeni ni msala
 
Back
Top Bottom