Wakili Peter Madeleka: Mimi na mke wangu tulikamatwa na kushtakiwa kwa uhujumu uchumi, nitawashtaki

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
WAKILI PETER MADELEKA: MIMI NA MKE WANGU TULIKAMATWA NA KUSHTAKIWA KWA UHUJUMU UCHUMI, NITAWASHTAKI
Source : mubashara studio

 
KWa Sasa tulipo fika ukionewa ni kushitaki tu , tena wengine KWa majina yao
Hivi hawa watu wanaowakamata wenzao tena wazazi wote wawili wenye watoto wadogo Kwa kesi za kupikwa, ingekuwa wao wangejisikiaje?? Watoto wanateseka Kwa kukosa malezi bora kisa binadamu wenzako?? Huku watoto wao wakifurahia maisha. Kwanini watoto hao wasijekuwa kina Hamza baadae??? Nchi hii imejaa watu wabaya Sana. Mungu atawaadhibu Kwa kadri awezavyo.
 
Huyu wakili kufanya KAZI polisi na mke wake pia kua afisa wa uhamiaji lazima kuna mgongano wa kimaslahi maana chocho zote za kuwatetea wahamiaji haramu wanajua.

Kuna kitu kaficha
 
Safi sana Ndugu wakili, haya masheria ya kikoloni ni vyema yaondolewe moja kwa moja!! Akipatikana kiongozi mwingine kama Mwendazake anayependa visasi, uungu mtu na kukomoana tutarudi kule kule!! Haiwezekani umweke mtu ndani miezi 18 kifala fala hivyo halafu huna ushahidi wowote wa kumfunga, KILA SIKU UNALETA MAHAKAMANI UPUUZI WA UPELELEZI UNAENDELEA, Thats stupid
 
Usicheze na Mijitu katili
 
fasiliteta
Umesema ukweli kabisa, inawezekana kuna kitu kaficha, wanasheria na wengi na mawakili wengi ujanjajanja ni mwingi sana!
Nilivyomsikia anasema kuna sehemu kuna mapungufu kwenye sheria, hivyo anatumia mapungufu hayo kuwatetea waalifu/wahamiaji haramu!
 
Nilikuwa namchukia magufuli tangu akiwa waziri nilikuwa haamini hakuwa kiongozi Bora.nilishangaa siku anateuliwa kuwa mgombea uraisi. Nilijua wengi wangehangaika na kutaabika sana kwakuwa chini yake
POLE SANA KAKA PETER MADELEKA.
HATA MM NILIAMUA KUACHA KAZI KWENYE UTUMISHI WA UMMA KWA SABABU YA MAGUFULI
 
"Napendekeza Rais ateue kamati ichunguze ubambikizaji wa kesi. Kuachia huru mahabusu bila maelezo ya kina inachafua jina la serikali na hata heshima ya CCM. CCM ijisahihishe ijadili suala hili" - MwanaLumumba kijiweni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…