Umesoma lakini inaonekana umetoka zero.
Yeye ameishtaki Serikali kwa kumweka mahabusu bila hatia. Lakini ili atoke ilimlazimu akiri kosa na alipe milioni 2.
Kwa hiyo serikali ushahidi itakaoutumia dhidi yake ni kukiri kosa. Upenyo alionao ni kukiri kwake kosa kufutwe kwa sababu hakukufuata utaratibu. Kukiri kwake kosa kusipotambulika kwa vile hakukufuata utaratibu, basi sasa atakuwa na haki ya kulalamikia tendo la yeye kuwekwa mahabusu bila hatia, na baadaye kufutiwa mashtaka kwa kukosa ushahidi.