Wakili wa Ashraf Hakimi: Hiba atapaswa kulipia gharama za kesi na kugawana 50/50 ya mali anazomiliki

Wakili wa Ashraf Hakimi: Hiba atapaswa kulipia gharama za kesi na kugawana 50/50 ya mali anazomiliki

Kuna mbongo anahangaika kwa kufanya kazi 2 Uswizi ili aweze ku settle madeni after divorce kwa ishu kama hizi za hawa wanawake wa Ulaya.
Dah! Inasikitisha sana,
Ndoa zimekua mwimba mchungu Kwa wanaume[emoji26]
 
Hii inaitwa mwana kuli find mwana kuli get. Ching lakini dawa, atulie dawa imuingie
 
Leta source ya taarifa zako hapa hiyo kesi imeisha we endelea kukaza kichwa yani Ufaransa mtu asilipe kodi halafu aangaliwe tu si tungesikia kesi!
vichwa ngumu hata uelezwe vipi huwezi kuelewa. Hicho nilichokwandikia mwanzoni kabisa kuna maneno "kama" na "ikiwa"... kuonyesha element of probability lakini kwa sababu uelewa wako ni mdogo umeishia kutukana.

You are a disgrace to your own parents. I wonder if they raised you kuwa mtukanaji unaposhindwa kuelewa hoja za wengine.
 
Back
Top Bottom