mzushi flani
JF-Expert Member
- Jan 20, 2020
- 1,627
- 2,473
Umekunywa bia ngapi hadi sasa!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ulikuwepo mahakamani?Mbona Jamii forum hawakutoa taarifa za mteja wao walipotakiwa kufanya hivyo na wezi wa ccm?
Si mlifurahia ule ushahid wa sabaya kutoka vodacomWakati nchi nyingi makampuni ya mawasiliano yakiwa yanaweka kipaumbele sana kwenye usiri wa taarifa za wateja wao, hapa kwetu hali ni tofauti kabisa...
Jamaa amejibu vyema kabisaImagine wakili wa Tigo anadai kuwa siyo kazi ya Tigo kulinda privacy ya mteja![emoji124][emoji124][emoji124]
View attachment 1995874
Mbona ushahid wa sabaya kutoka vodacom hamkushupaza shingo hiviHii kampuni ingekuwa ulaya nahisi mpaka muda huu ingeporomoka kiuchumi vibaya Sana. Nahisi hii kesi itazidi kutoa Siri nyingi Sana ni Bora mashahidi wangekuwa wachache kuliko kuleta ujinga mahakamani
Ndo maana machadema huwa yananisikitisha sana kule kwa sabaya ushahidi wa vodacom waliushangilia kwa vinderemo iweje leo waone ni nongwa kwa jamaa yao .wavumilie tuYani inamaana pamoja na kujinasibu kama watu wanaozijua Sheria, hawakuwa wanajua kama mamalaka zimepewa uwezo huo pale inapolazimu? Na kwa hii kesi ilikuwa ni lazima kuexpose ushahisi wowote unaoweza kurahisha kesi...
Mbona hamkususia vodacom kama mna ubavu huoHuyo jamaa naona kaamua kuihujumu tigo maana wateja kina sisi ndiyo tusha hama
Naona unamlazimisha ngamia kunywa maji.Mbona hamkususia vodacom kama mna ubavu huo
Hatuwezi kuwa na katiba ya namna hiyo kulinda hadi magaidi kwa kigezo cha privacy hakuna na haitakaa itokeeThis is why tunahitaji katiba mpya. Katiba ambayo itamlinda mwananchi kulinda privacy yake, muda wa mtu kukaa remand na kesi kusikilizwa
Tigo wamejiandalia wenyewe sherehe za kuwaaga wateja wao.Mbona hamkususia vodacom kama mna ubavu huo
Yaani wewe kijana una roho mbaya sana.Hatuwezi kuwa na katiba ya namna hiyo kulinda hadi magaidi kwa kigezo cha privacy hakuna na haitakaa itokee
Hii nguvu inayotumika kwa mboye mbona haikutumika kwa sabaya kipindi kile vodacom walipotoa ushahidi waoHapana ndugu Crocodiletooth, unawahi mno kutoa conclusion ili ukidhi kiu ya utakacho wewe...
Hoja hapa siyo kumlinda au kutomlinda mhalifu kwa sababu mpaka hapa tulipo sasa hakuna aliyekwisha kuthibitishwa na mahakama kuwa ni mhalifu...
Wanasahau jamaa walimdukua hadi Angel mikelHakuna kitu kama hicho kwenye dunia hii! Hata Marekani wakihitaji taarifa zako wanazipata kwa watu wa mitandao! Ila mtaahira mnadanganyana hapa!
Umeona eenhh?!!.Tuna mawakili wa hovyo sana ktk nchi hii.Umempendelea sana huyo ngedere kwa kumuita Wakili Msomi! Anaulizwa maswali mengine anajikanyaga kanyaga tu! Halafu eti ni Mwanasheria wa kampuni kubwa kama tigo!
Ametuma kufanikisha niniSiyo Wewe tu, shahidi wa leo amekuja kuiambia mahakama kwamba Mbowe alituma laki 5! Mnang’ng’ania ni za ugaidi, kwa kigezo gani? Huyu shahidi yenu amehusishaje hiyo laki 5 na ugaidi?
Rudie tena kusoma alichopost mwezako naona umejitungia swali na kuweka jibu unalotakaNa wewe jiongeze kidogo! Hivi unapotuma muamala wa fedha Kuna kipengele chochote kinachoonyesha matumizi ya fedha uliyotuma? Kwanini huyo mwanasheria wa tigo aspeculate kuwa muamala huo ulitumwa Kwa kazi fulani ilihali hata barua anayodai ilimtoka polisi haikuainisha sababu Wala kosa lililodhamiriwa na muamala huo? Mwanasheria kilaza TU asiyeweza kureason Bali kuconlude na kujudge! Hastahili hiyo nafasi kwani kaichafua Sana kampuni ya tigo! Afukuzwe kazi mara moja!
Na wew unapoteza mda kumjibu hicho kitumbua wao wanamuona mbowe kama mungu mtu ili hali ana mambo yake anayafanya gizaniHii kweli ni home of great thinkers[emoji23].
Ikiwa kwenye kesi imethibitika kuwa tarehe fulani kiasi fulani cha fedha kilitumwa (shahid kasema), na hakuna traces zozote kwenye simu ya mtuhumiwa inayoonyesha kuwa alituma hiyo pesa (pengine labda aliifuta), utaupata wapi ushaidi wa kuthibitisha huo muamala kama sio kwenda Tigo kwenywe?...
Utetezi kama huu ndo unawafanya mdharaulike mnakuwa na mahaba kupita kiasi unajua hata muuaji anahaki zake za privacyMaovu ya sabaya yapo wazi hata wewe ungeenda kutoa ushahidi, tuambie maovu ya Mbowe wapi analalamikiwa na raia wa kawaida zaidi ya serikali hii katili?
Mjinga ni wew unaitumia tigo (takataka) kuwasilina na hawara zako kutuma pesa kwa vimada wakoAmeulizwa kipaumbele cha kampuni nini akajibu nini? hiyo ni kampuni sasa au ni takataka?
kwa ushaidi huo wa kuunga na supagluu kuna ugaidi hapo? au ni ushabiki wa lumumba umekujaaHatuwezi kuwa na katiba ya namna hiyo kulinda hadi magaidi kwa kigezo cha privacy hakuna na haitakaa itokee