Kuku akikoswa koswa kudakwa na mwewe hulia kwa uchungu sana kuomboleza tukio, halafu hujirekebisha hajianiki kizembe tena, kisha huishia kula sana kwa njia ya kuchakura chakura ili kurejesha furaha yake.
Nilitolea mfano wa Roma mkatoliki, alivyotekwa na kuachiwa, wananzengo wakamuulizia sana 'sanga' alilokumbana nalo huko alikopelekwa, waalah hakusema na wala hatakuja sema, ni mkataba wa kiapo ambacho hawezi kuja kuuvunja.
Haya tuje na staff wa Jf Max, tangia aburuzwe mahakamani, ule uhuru wetu members wa ku"talk openly" umefinywa, members ku'ban'kwa bila onyo ama kubadilishiwa headings ama jukwaa bila kupewa angalizo!
Yote hayo ni woga wa kutii mamlaka bila shurti.
Sent using
Jamii Forums mobile app