Wakina dada ambao elimu ya mkoloni imepita chocho, kuweni makini na maneno ya marafiki zenu. Sio wote wanaowatakieni mazuri kwenye ndoa zenu

Wakina dada ambao elimu ya mkoloni imepita chocho, kuweni makini na maneno ya marafiki zenu. Sio wote wanaowatakieni mazuri kwenye ndoa zenu

Mke si ndio huyu sasa? A
Dawa za nini?Raha ya mwanaume awe na kashkash....leo umekuta meseji ya Asha kesho ya Eliza...mara kachelewa kurudi mara kakupiga vibao yani full raha sio mtu anapoooooza ka mkojo wa ngedere inahuuuuu[emoji108][emoji108][emoji108]tuacheni kuwapa dawa hawa watu jamani khaaa!
 
Back
Top Bottom