Dawa za nini?Raha ya mwanaume awe na kashkash....leo umekuta meseji ya Asha kesho ya Eliza...mara kachelewa kurudi mara kakupiga vibao yani full raha sio mtu anapoooooza ka mkojo wa ngedere inahuuuuu[emoji108][emoji108][emoji108]tuacheni kuwapa dawa hawa watu jamani khaaa!