Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Huyajuwi samani ya hayo mauwa ndio maan unasema hivyo Bibie laiti ungejuwa faida zake usingesema hivyo. Kweli jambo usililo lijuwa ni usiku wa giza.Pole sana Hayao mauwa uanyoyasema yana faida kuliko hata nyma ya ng'ombe katika afya ya mwilini mwako ukiyala.Nani umlishe maua?