Demiss kwenye huo uzi umetoa siri ya kambi mbonaWakisoma hapa wataelewa somoWanaume wa JamiiForums ambao hampati PM wala kujibiwa PM na wanawake jiulize mpo kwenye Majukwaa gani? - JamiiForums
Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa wanaume wa Jf kwamba hawapati PM kutoka kwa warembo wa Jf. Mfano Zero IQ na Da 'Vinci na wengine wengi wakilalamika kufungiwa vioo. Sasa niwaambie siri wanaume ambayo hamjui. Yani ukimtumia tu mwanamke PM hakujibu mpaka aende kuangalia unashiriki ktk...www.jamiiforums.com
Inshallah....Aaah basi ndio maana usijali yatapita tu
😵 Mama yangu!Tatizo yule member wa kiume kidume ndiye aliyewakimbiza wadada mpaka kufunga pm yuleee mwenye uparaaa kibongeee wadada mpaka sasa hivi wanaogopa na wanapishana na magari ya mishahara.
Nyongeza jaman sijafunga pm aliyepo Dodoma anaipm Leo Nina nygeeee.
Aloooo! Kumbee
Kule kuna mizuka yake watu zikishakolea wanaocheza wanacheza wanaopigana sound kama kawa yani mishe kama zote.Aaah haina noma inapendeza kama tukiwa wengi tunalewa kwa rahaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Exactly kwa sababu kuna pm zingine ni almasi
Demiss kwenye huo uzi umetoa siri ya kambi mbona
😵 Mama yangu!
Kule kuna mizuka yake watu zikishakolea wanaocheza wanacheza wanaopigana sound kama kawa yani mishe kama zote.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
shavu la wapi chini au juu?W
Wanasemaga kula sio kunenepa
Ila me nikivufululiza yoghurt shavu hilooo[emoji23]
Tangu siku hiyo sijashika tena simu yake nikiishiwa bando la kuingia jf natumia free mode kusoma threads
Sema pm kuna vituko sana.
Tatizo huku mtu anakuja pm usipomjibu anakutukana.
Wakati mwingine kuliko ugombane na mtu bora ujifungie zako tu.
Yangu inakaaga wazi upumbavu ukizidi naifunga
Huko pm kwenyewe bora mngekuwa mnaenda kuongea nao vya maana, pumba tupu. No wonder wanawafungia.Hahahaha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna miandiko PM haivutii hata kureply[emoji23]
Tunavumilia tu!
Yan acha tu Niliyoyakuta siku zile yanatosha
Moro karibu...Arusha wapi maana tarehe 20 nakuja hukoo
Njoo moro nikutulizeTatizo yule member wa kiume kidume ndiye aliyewakimbiza wadada mpaka kufunga pm yuleee mwenye uparaaa kibongeee wadada mpaka sasa hivi wanaogopa na wanapishana na magari ya mishahara.
Nyongeza jaman sijafunga pm aliyepo Dodoma anaipm Leo Nina nygeeee.
Hata sijuiKwasasa iko wazi au umeifunga?