Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 😂 😂 fanya kumtaja aliyefunga au unataka kuunda group?Hello..! warembo wa humu.
Unakuta umeuelewa hata mwandiko wa mdada unamfata pm mbadilishane hata mawazo unakuta kafunga pm. Aaaaarrrghh....
Msitufungie huko pm basi.
Uzi tayari.
Hili ombi kwanini usiniombe mimi.Naomba nikupm
Leo Eid upate wa kukupeleka Rainbow😂Tatizo yule member wa kiume kidume ndiye aliyewakimbiza wadada mpaka kufunga pm yuleee mwenye uparaaa kibongeee wadada mpaka sasa hivi wanaogopa na wanapishana na magari ya mishahara.
Nyongeza jaman sijafunga pm aliyepo Dodoma anaipm Leo Nina nygeeee.
Tatizo yule member wa kiume kidume ndiye aliyewakimbiza wadada mpaka kufunga pm yuleee mwenye uparaaa kibongeee wadada mpaka sasa hivi wanaogopa na wanapishana na magari ya mishahara.
Nyongeza jaman sijafunga pm aliyepo Dodoma anaipm Leo Nina nygeeee.
Mwombe kwenye thread unazomuona kuwa unaomba akufungulie pm.
Akiona unafaa atakufungulia.
Uncle hujambo?Leo Eid upate wa kukupeleka Rainbow[emoji23]
Mwombe kwenye thread unazomuona kuwa unaomba akufungulie pm.
Akiona unafaa atakufungulia.
Leo Eid upate wa kukupeleka Rainbow[emoji23]
Habari ya Eid? Wapi mtoko!Uncle hujambo?
Uncle[emoji124][emoji124]Me nimefungua bwana [emoji23]
Sitoki siku yenyewe j3 haina mvuto.Sijambo uncle
Habari ya Eid? Wapi mtoko!
😂😂 usijali maa, muda bado mbonaUlijuaje mamy hapa nimetoka kununua suruali mpya sijapata wa kunitoaaa
[emoji23][emoji23] usijali maa, muda bado mbona