Wakina mama kuweni na huruma jamani. Amezaa mtoto kaenda kumtupa porini

Wakina mama kuweni na huruma jamani. Amezaa mtoto kaenda kumtupa porini

kama waliongea na nyoka na wakaelewana hawawezi kuwa na huruma!
 
Akili zake anazijua mwenyewe, sijui alikua anapitia nini mpaka amfanyie hivyo mwanae.

Anaonekana ana majuto hata hajui anafanya nini.
 
Inahuzunisha sana, 😥😥
Nimeumia sana, ila nikafarijika kwamba wamemuwahi kumuokoa kabla hajadhurika. Mtoto atakuja kuandika historia kwenye maisha yake, sio mara zote lakini watoto wa mazingira ya aina hii wanakuwa na vitu vya kipekee.

Huyo Mama si anakesi inamkabili? Nnamiliki D moja tafadhali sana
 
Bila kusahau na wazazi kua wakali kwake na kumuona aliefeli maisha, mwenye laana kuzalia nyumbani, majirani na ndgu nao vivyo hivyo.

Wakifika hiyo stage tunawalaumu kwa roho mbaya ila wametengenezwa hao mpaka kufikia hapo.

Na Bado wakija JF Kila Kona utasikia single Maza hivi singo maza vile, basi tu ilimradi wasipate utulivu.

Si jambo zuri na siombei itokee, lakini likimkuta Binti yangu inabidi kusimamia nae Kwa kipindi chote. Wakati wa kuonyesha upendo wa dhati.
 
Wakiambiwa watumie Uzazi wa mpango hawataki kufanya mapenzi kiholela tu
Uko kijijini unadhani uzazi wa mpango umewafikia sawa sawa. Huyo mama mzazi mwenyewe haamini kama kile kitendo amefanya yeye.

Tiyari huyo mtoto atakuja kuwa na trauma akigundua hili ukubwani. Labda mama yake ahame na apotee kabisa akate mawasiliano na wanaomjua kisha amkuze mwanae. Tofauti na hapo ni sumu kali sana mtoto atakuwa nayo.
 
Ugumu wa maisha, kukataliwa na mwenziwe baba wa huyo mtoto, hizi nadhani ndo sababu kuu
Pia kuna hii:

Postpartum Psychosis

Following days to weeks after childbirth, most women experience some mental disturbance like mood swings and mild depression (also known as post-baby blues), but a few can also suffer from PTSD, major depression, or even full-blown psychosis.

Postpartum psychosis (PPP) is a mental health emergency. This condition affects a person’s sense of reality, causing hallucinations, delusions, paranoia or other behavior changes. In severe cases, people with PPP may attempt to harm themselves or their newborn. This condition is treatable, and early treatment increases the odds of a good outcome.
 
Bila kusahau na wazazi kua wakali kwake na kumuona aliefeli maisha, mwenye laana kuzalia nyumbani, majirani na ndgu nao vivyo hivyo.

Wakifika hiyo stage tunawalaumu kwa roho mbaya ila wametengenezwa hao mpaka kufikia hapo.
Kama mnyama asiye na akili anabeba ujauzito,anazaa,mpaka kutunza watoto peke yake kiugumu bila ya kujali aliyemtia mimba hakuwahi kumsaidia,sembuse wewe mwanadamu?,huyu ni mwanamke asiyefaa kwenye jamii,mwanamke huwa hatupi mtoto,hata ingekuwa kuna magumu ya kiasi gani,hapa hawezi kujitetea kwa lolote...
 
Kama mnyama asiye na akili anabeba ujauzito,anazaa,mpaka kutunza watoto peke yake kiugumu bila ya kujali aliyemtia mimba hakuwahi kumsaidia,sembuse wewe mwanadamu?,huyu ni mwanamke asiyefaa kwenye jamii,mwanamke huwa hatupi mtoto,hata ingekuwa kuna magumu ya kiasi gani,hapa hawezi kujitetea kwa lolote...
braza acha tu!!! mpaka nimelia yaani!!!!,,,sasa nimegundua kwa nini ndoa siku izi hazidumu,kumbe sababu ya wanawake kutojali!! yaani mimi huu waka wa 3 nimepigwa butwaa!!! wife kasepa na kuniachia watoto wa 4,alaf wala hajali!!
 
Back
Top Bottom