Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ata kama yupo mwanaume!! utamfanyiaje ukatili mwanao uliemtoa kwenye MAKU yako??Nyuma ya haya yote yupo mwanaume.....haijalishi kakosea au hajakosea
Haya angetokea puani ukiamua kufanya ukatili huchagui ni nani wa kumfanyia..... mbona nyie mnatokea huko na mnawaumiza kimakusudi na dharau juuata kama yupo mwanaume!! utamfanyiaje ukatili mwanao uliemtoa kwenye MAKU yako??
Mnyama anapitia bullying gani toka kwa ndgu na wazazi wake??Kama mnyama asiye na akili anabeba ujauzito,anazaa,mpaka kutunza watoto peke yake kiugumu bila ya kujali aliyemtia mimba hakuwahi kumsaidia,sembuse wewe mwanadamu?,huyu ni mwanamke asiyefaa kwenye jamii,mwanamke huwa hatupi mtoto,hata ingekuwa kuna magumu ya kiasi gani,hapa hawezi kujitetea kwa lolote...
Ndo hivyo mkuu, hawahawa wanaowadisi singo maza humu ndo wazazi wa hao watoto.Na Bado wakija JF Kila Kona utasikia single Maza hivi singo maza vile, basi tu ilimradi wasipate utulivu.
Si jambo zuri na siombei itokee, lakini likimkuta Binti yangu inabidi kusimamia nae Kwa kipindi chote. Wakati wa kuonyesha upendo wa dhati.