Kama mnyama asiye na akili anabeba ujauzito,anazaa,mpaka kutunza watoto peke yake kiugumu bila ya kujali aliyemtia mimba hakuwahi kumsaidia,sembuse wewe mwanadamu?,huyu ni mwanamke asiyefaa kwenye jamii,mwanamke huwa hatupi mtoto,hata ingekuwa kuna magumu ya kiasi gani,hapa hawezi kujitetea kwa lolote...