Aneel munawar
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,580
- 8,141
tarehe 16 mwezi uliopita sisi vijana wa simba tulimuoa dada yanga na akachagua kuvaa dera ya njano kama shera..basi kwakua dini yetu ya CAF inaruhusu kuoa mke zaidi ya mmoja tukaamua tumshirikishe mke wetu YANGA SC ili atoe ruhusa ya sisi kuongeza mke,basi mke wetu YANGA SC akatoa tamko kua mke mwenzie Aitwae AS VITA siku ya harusi ni sharti avae dera la njano na aolewe tarehe sawa na mke mwwnzie yanga..na pia honeymoon iwe siku moja..basi leo tarehe 16.3.2019 tumemuoa mke wetu wa pili AS VITA kama tulivomuoa YANGA tarehe 16.2.2019..ila tumesaidiwa na mdogo wetu LIPULI FC kumtia mimba YANGA..huku sisi tukimtia mimba AS VITA..ingawa Mke wetu YANGA ametoa unyumba kwa LIPULI,sisi tunamsamehe na arudi nyumbani akae na mke mwenzie VITA na wakuze mimba zao ndani ya madera yao ya njano kama maembe ya buguruni....na watazaa mapacha ndezii awaa...kwa pamoja tuseme aminaaaaaaa