Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaa kamanda wa terminal pub ila patamu hapo watu wa dodoma tukipita hapo tunafaidi sana siku ya bendiHujui frequency ya baa yangu inazidiwa na toilet paper
Wanakuja nazo mzee. Akina dada wanabeba makorokoro mengi sana kwenye pochi zaoKwanini usitoe hiyo toilet pepa kama hutaki watumie!!?
Nyie ndo wale mkija kwenye baa yangu mnywe ila msilewe
Inaonyesha wewe ni mshamba 💯 ya wadada wanatembea na tishu kwenye pochi wanapotoka mbali au nje sanaa na maskani hiyo inawakinga na kukosa tishu za kaunta.Kwanini usitoe hiyo toilet pepa kama hutaki watumie!!?
Nyie ndo wale mkija kwenye baa yangu mnywe ila msilewe
Hivi band Yao uwa ni ln?Hahahaa kamanda wa terminal pub ila patamu hapo watu wa dodoma tukipita hapo tunafaidi sana siku ya bendi
Wateja wako wamejaa JF. Biashara itakushinda!Wakinadada mkija bar hasa ya kwangu iko Msamvu, msitumie toilet paper, tumieni flash water ya kupump na mkono!
Sijui majina ila mwamba anaitwa James nadhani hao ni waluguru og, kuna vyombo vinakata ni noma sanaHivi band Yao uwa ni ln?