kubwa jinga jr
JF-Expert Member
- Mar 19, 2017
- 292
- 309
Habari wadau
katika utafiti niliofanya mdogo kwa kushirikisha wanawake wa rika zote kuanzia miaka 14 mpaka 45 katika katika mikoa ya arusha,kilimanjaro,mwanza na jiji lenu pendwa la dar es salaam,
Nimegundua wadada wengi wanapoingia/toka chooni kukata gogo hupoteza kujiamini na kuwa na wasiwasi mwingi na hupoteza kumbukumbu hata ukimuuliza swali dogo mfano ,dada hiki choo cha kike au kiume atakasirika na kumwaga matusi na asikupe jibu katika uchunguzi nilioufanya wa kutembelea vyoo vya public na vyoo vya nyumbani vyenye wapangaji wengi,na wenye kuishi familia ndani ya dakika kumi mtu anapoteza kumbukumbu
mpaka muda huu nawasilisha report yangu bado najiuliza kinachowatatiza wakina dada ni aibu ama kutojikubali
Karibuni sana wapendwa
Sent using Jamii Forums mobile app
katika utafiti niliofanya mdogo kwa kushirikisha wanawake wa rika zote kuanzia miaka 14 mpaka 45 katika katika mikoa ya arusha,kilimanjaro,mwanza na jiji lenu pendwa la dar es salaam,
Nimegundua wadada wengi wanapoingia/toka chooni kukata gogo hupoteza kujiamini na kuwa na wasiwasi mwingi na hupoteza kumbukumbu hata ukimuuliza swali dogo mfano ,dada hiki choo cha kike au kiume atakasirika na kumwaga matusi na asikupe jibu katika uchunguzi nilioufanya wa kutembelea vyoo vya public na vyoo vya nyumbani vyenye wapangaji wengi,na wenye kuishi familia ndani ya dakika kumi mtu anapoteza kumbukumbu
mpaka muda huu nawasilisha report yangu bado najiuliza kinachowatatiza wakina dada ni aibu ama kutojikubali
Karibuni sana wapendwa
Sent using Jamii Forums mobile app