Wakinadada wengi wanapotoka kukata gogo hupoteza kujiamini na kumbukumbu

kubwa jinga jr

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2017
Posts
292
Reaction score
309
Habari wadau

katika utafiti niliofanya mdogo kwa kushirikisha wanawake wa rika zote kuanzia miaka 14 mpaka 45 katika katika mikoa ya arusha,kilimanjaro,mwanza na jiji lenu pendwa la dar es salaam,

Nimegundua wadada wengi wanapoingia/toka chooni kukata gogo hupoteza kujiamini na kuwa na wasiwasi mwingi na hupoteza kumbukumbu hata ukimuuliza swali dogo mfano ,dada hiki choo cha kike au kiume atakasirika na kumwaga matusi na asikupe jibu katika uchunguzi nilioufanya wa kutembelea vyoo vya public na vyoo vya nyumbani vyenye wapangaji wengi,na wenye kuishi familia ndani ya dakika kumi mtu anapoteza kumbukumbu

mpaka muda huu nawasilisha report yangu bado najiuliza kinachowatatiza wakina dada ni aibu ama kutojikubali

Karibuni sana wapendwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mh. leta tafiti za maana na zenye maana au mafundisho kwenye jf.
 
Natamani kujua methodology uliyotumia, maana kukaa karibu na vyoo vya kike unaweza kuhisiwa ni mchunguliaji au mbakaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…