Wakinga kwa majina ya kizungu hawajambo, ona haya

Wakinga kwa majina ya kizungu hawajambo, ona haya

kuna mwingne nilisoma naye anaitwa danger sanga nikamuuliza kisa cha hilo jina akasema kuna lori la mafuta liliharibika kijijini kwao lilikuwa limeandikwa DANGER kwenye tanki wazazi alipozaliwa wakampa hilo jina akasema kwao kukuta mtoto anaitwa trekta au fuso ni kawaida kutegemea mzazi kipi alikipenda kama greda akiliona akafurahi linavyofanya kazi mtoto akizaliwa kumwita greda sio ajabu
duhh
 
kuna mwingne nilisoma naye anaitwa danger sanga nikamuuliza kisa cha hilo jina akasema kuna lori la mafuta liliharibika kijijini kwao lilikuwa limeandikwa DANGER kwenye tanki wazazi alipozaliwa wakampa hilo jina akasema kwao kukuta mtoto anaitwa trekta au fuso ni kawaida kutegemea mzazi kipi alikipenda kama greda akiliona akafurahi linavyofanya kazi mtoto akizaliwa kumwita greda sio ajabu
Da [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
kuna mwingne nilisoma naye anaitwa danger sanga nikamuuliza kisa cha hilo jina akasema kuna lori la mafuta liliharibika kijijini kwao lilikuwa limeandikwa DANGER kwenye tanki wazazi alipozaliwa wakampa hilo jina akasema kwao kukuta mtoto anaitwa trekta au fuso ni kawaida kutegemea mzazi kipi alikipenda kama greda akiliona akafurahi linavyofanya kazi mtoto akizaliwa kumwita greda sio ajabu
Ha ha ha nkuu ume nifanya ni cheke hadi machozi
 
Back
Top Bottom