Wakinga kwa majina ya kizungu hawajambo, ona haya




Sent using Jamii Forums mobile app
 
NA Hawa je
1.MOHAMED YUSUFU SANGA
2.OMARY ALLY CHAULA
wakristo au waislamu na Makete hakunaga msikit?
 
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji3][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji16][emoji3][emoji3][emoji16][emoji1787]ah ah ah hadi nimepaliwa na chai [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]i love this Game

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilicheka sana siku nilipoenda kumsabahi bibi nikakuta kuna mtoto wa jiran anaitwa penguin baada ya kuuliza kwanin walimuita hilo jina nkaambiwa kuna Costa imeandikwa hivo ndo alipanda mama yake siku anaenda kujifungua.
[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji16][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] mbavu zangu jamani[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilicheka sana siku nilipoenda kumsabahi bibi nikakuta kuna mtoto wa jiran anaitwa penguin baada ya kuuliza kwanin walimuita hilo jina nkaambiwa kuna Costa imeandikwa hivo ndo alipanda mama yake siku anaenda kujifungua.
[emoji23][emoji23],coaster hiyo bulongwa njombe,to and fro
 
NA Hawa je
1.MOHAMED YUSUFU SANGA
2.OMARY ALLY CHAULA
wakristo au waislamu na Makete hakunaga msikit?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],kweli kabisa
juma asagile mahenge alafu analala na kitimoto
 
vodka mbilinyi ,balimi ndeti πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…