Wakinga Wana ajenda gani Kariakoo?

Wakinga Wana ajenda gani Kariakoo?

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Wakinga wamekuwa tishio sio tu kwenye kufanya biashara kariakoo Bali tuliwazoea Kama watu ambao wapo serious na utafutaji kariakoo

Lakini sasa wamegeuka kuwa hatari kwa usalama wa raia idara za usalama zinatakiwa kufatilia

Iko hivi sasahivi mkinga akitaka eneo kariakoo atalichukua tu utake usitake

Kwanza anakufuata anakwambia anataka kuuziwa eneo lako.

Ukikataa utatekwa utapelekwa kusikojulikana utasainishwa mkataba na ndio utakuwa imeisha hiyo

Kinga tycoon ni hatari Sana wamewazidi mbali sana Kikuyu wa Kenya ambao ndio walikuwa ma tycoon hatari zaidi kusini mwa jangwa la Sahara!!

Sasa najiuliza idara zetu za usalama zimekubali watu wengine wasiwe na haki ya kuwa na maeneo kariakoo? Au ni planned?

Fanyeni research me nimeleta kwa sababu nime experience the consequences

Aise Hawa jamaa ni Mafia sijawai kuona!!
 
Mkuu hii taarifa yako sio tu ya kuchukulia poa ila pia inahitaji vyombo vyote vya usalama kufuatilia ni bora ungetoa hata mwanga kwamba mfano plot namba flani wamefanya umafia wao pale.
Maana kwa sasa inaonekana Tanzania imekuwa shamba la bibi mtu anaweza kufanya jambo llte bila hata hofu.
Dah! Samia stuka kuna wahuni wanakuhujumu kama ni kweli
 
Ngoja tuendelee kusubiri validation wa hii taarifa Ila ikiwa umekubwa na changamoto nakutakia pole
 
Wakinga wamekuwa tishio sio tu kwenye kufanya biashara kariakoo Bali tuliwazoea Kama watu ambao wapo serious na utafutaji kariakoo

lakini sasa wamegeuka kuwa hatari kwa usalama wa raia idara za usalama zinatakiwa kufatilia

iko hivi sasahivi mkinga akitaka eneo kariakoo atalichukua tu utake usitake

kwanza anakufuata anakwambia anataka kuuziwa eneo lako.

ukikataa utatekwa utapelekwa kusikojulikana utasainishwa mkataba na ndio utakuwa imeisha hiyo

kinga tycoon ni hatari Sana wamewazidi mbali sana Kikuyu wa Kenya ambao ndio walikuwa ma tycoon hatari zaidi kusini mwa jangwa la Sahara!!

sasa najiuliza idara zetu za usalama zimekubali watu wengine wasiwe na haki ya kuwa na maeneo kariakoo? Au ni planned?

fanyeni research me nimeleta kwa sababu nime experience the consequences

aise Hawa jamaa ni Mafia sijawai kuona!!
Who is SH Amon ?
 
Tatiizo ni kuwa hao wa kuwategemea kwa usalama wako chini ya waki*** hao hao.
 
Vyombo vya Dola kama polisi ndiyo watekaji zaidi kuliko hao wakinga.TLS walitoa orodha ya waliotekwa na polisi wanazidi miamoja
 
Huyu samia mnapenda kum portray kama mtoto kumbe ni mmama mtu mzima anayejua uhuni wote nchini ila ameamua kuufumbia macho
Mkuu hii taarifa yako sio tu ya kuchukulia poa ila pia inahitaji vyombo vyote vya usalama kufuatilia ni bora ungetoa hata mwanga kwamba mfano plot namba flani wamefanya umafia wao pale.
Maana kwa sasa inaonekana Tanzania imekuwa shamba la bibi mtu anaweza kufanya jambo llte bila hata hofu.
Dah! Samia stuka kuna wahuni wanakuhujumu kama ni kweli
 
Wakinga wamekuwa tishio sio tu kwenye kufanya biashara kariakoo Bali tuliwazoea Kama watu ambao wapo serious na utafutaji kariakoo

lakini sasa wamegeuka kuwa hatari kwa usalama wa raia idara za usalama zinatakiwa kufatilia

iko hivi sasahivi mkinga akitaka eneo kariakoo atalichukua tu utake usitake

kwanza anakufuata anakwambia anataka kuuziwa eneo lako.

ukikataa utatekwa utapelekwa kusikojulikana utasainishwa mkataba na ndio utakuwa imeisha hiyo

kinga tycoon ni hatari Sana wamewazidi mbali sana Kikuyu wa Kenya ambao ndio walikuwa ma tycoon hatari zaidi kusini mwa jangwa la Sahara!!

sasa najiuliza idara zetu za usalama zimekubali watu wengine wasiwe na haki ya kuwa na maeneo kariakoo? Au ni planned?

fanyeni research me nimeleta kwa sababu nime experience the consequences

aise Hawa jamaa ni Mafia sijawai kuona!!
Hili linatia mashaka makubwa. Utekwe na usanishwe mikataba kwa nguvu? Kuuza eneo hakuna mashahidi na taratibu nyingine nyingi? Ingekuwa uthibitisho wa kuuziwa eneo ni hati zilizosainiwa tu si majambazi na matapeli ''wangepora'' maeneo mengi sana? Hili unalosema huenda kuna mtu aliuza eneo kwa bei chee halafu baada ya kugutuka akadanganya kuwa alitekwa na kulazimishwa. Au aliuza eneo na sasa anataka kulipora. Au alikopa fedha kwa bond ya eneo na baada ya kushindwa kulipa na eneo kuchukuwa akaamua kutunga.
 
Wakinga wamekuwa tishio sio tu kwenye kufanya biashara kariakoo Bali tuliwazoea Kama watu ambao wapo serious na utafutaji kariakoo

lakini sasa wamegeuka kuwa hatari kwa usalama wa raia idara za usalama zinatakiwa kufatilia

iko hivi sasahivi mkinga akitaka eneo kariakoo atalichukua tu utake usitake

kwanza anakufuata anakwambia anataka kuuziwa eneo lako.

ukikataa utatekwa utapelekwa kusikojulikana utasainishwa mkataba na ndio utakuwa imeisha hiyo

kinga tycoon ni hatari Sana wamewazidi mbali sana Kikuyu wa Kenya ambao ndio walikuwa ma tycoon hatari zaidi kusini mwa jangwa la Sahara!!

sasa najiuliza idara zetu za usalama zimekubali watu wengine wasiwe na haki ya kuwa na maeneo kariakoo? Au ni planned?

fanyeni research me nimeleta kwa sababu nime experience the consequences

aise Hawa jamaa ni Mafia sijawai kuona!!
Propaganda izo sisyo jenga zaid ya kupotosha umma waknga kwenye 20 list ya makabila makubwa na matajr Tz aimo sasa nyie mliachiwa 10 kwa 10 na babu yenu mmeshndwa kuendeleza anakuja mkinga mmoja anawapa 50 milion muwame mnaaza kujauku kusema jamaa wana pesa wakat za kawaida hyo n kujibrand nyie wakinga lakn amna jpya
 
Wakinga wamekuwa tishio sio tu kwenye kufanya biashara kariakoo Bali tuliwazoea Kama watu ambao wapo serious na utafutaji kariakoo

Lakini sasa wamegeuka kuwa hatari kwa usalama wa raia idara za usalama zinatakiwa kufatilia

Iko hivi sasahivi mkinga akitaka eneo kariakoo atalichukua tu utake usitake

Kwanza anakufuata anakwambia anataka kuuziwa eneo lako.

Ukikataa utatekwa utapelekwa kusikojulikana utasainishwa mkataba na ndio utakuwa imeisha hiyo

Kinga tycoon ni hatari Sana wamewazidi mbali sana Kikuyu wa Kenya ambao ndio walikuwa ma tycoon hatari zaidi kusini mwa jangwa la Sahara!!

Sasa najiuliza idara zetu za usalama zimekubali watu wengine wasiwe na haki ya kuwa na maeneo kariakoo? Au ni planned?

Fanyeni research me nimeleta kwa sababu nime experience the consequences

Aise Hawa jamaa ni Mafia sijawai kuona!!
Angalau ungetoa mfano wa tukio moja tu la utekaji. Vinginevyo Wakinga ni fighters sio kawaida. Pia wanajua financial management.
 
Wakinga wamekuwa tishio sio tu kwenye kufanya biashara kariakoo Bali tuliwazoea Kama watu ambao wapo serious na utafutaji kariakoo

Lakini sasa wamegeuka kuwa hatari kwa usalama wa raia idara za usalama zinatakiwa kufatilia

Iko hivi sasahivi mkinga akitaka eneo kariakoo atalichukua tu utake usitake

Kwanza anakufuata anakwambia anataka kuuziwa eneo lako.

Ukikataa utatekwa utapelekwa kusikojulikana utasainishwa mkataba na ndio utakuwa imeisha hiyo

Kinga tycoon ni hatari Sana wamewazidi mbali sana Kikuyu wa Kenya ambao ndio walikuwa ma tycoon hatari zaidi kusini mwa jangwa la Sahara!!

Sasa najiuliza idara zetu za usalama zimekubali watu wengine wasiwe na haki ya kuwa na maeneo kariakoo? Au ni planned?

Fanyeni research me nimeleta kwa sababu nime experience the consequences

Aise Hawa jamaa ni Mafia sijawai kuona!!
Sasa na wewe kabila lako si lianze hivyo?
 
Wakinga wamekuwa tishio sio tu kwenye kufanya biashara kariakoo Bali tuliwazoea Kama watu ambao wapo serious na utafutaji kariakoo

Lakini sasa wamegeuka kuwa hatari kwa usalama wa raia idara za usalama zinatakiwa kufatilia

Iko hivi sasahivi mkinga akitaka eneo kariakoo atalichukua tu utake usitake

Kwanza anakufuata anakwambia anataka kuuziwa eneo lako.

Ukikataa utatekwa utapelekwa kusikojulikana utasainishwa mkataba na ndio utakuwa imeisha hiyo

Kinga tycoon ni hatari Sana wamewazidi mbali sana Kikuyu wa Kenya ambao ndio walikuwa ma tycoon hatari zaidi kusini mwa jangwa la Sahara!!

Sasa najiuliza idara zetu za usalama zimekubali watu wengine wasiwe na haki ya kuwa na maeneo kariakoo? Au ni planned?

Fanyeni research me nimeleta kwa sababu nime experience the consequences

Aise Hawa jamaa ni Mafia sijawai kuona!!
wakinga hawana tabia hizo, kwa sababu kwanza hata elimu huwa hawana. ungeniambia uchawi hapo ningekubaliana na wewe, ila huko ulikoenda sio.
 
Back
Top Bottom