technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Wakinga wamekuwa tishio sio tu kwenye kufanya biashara kariakoo Bali tuliwazoea Kama watu ambao wapo serious na utafutaji kariakoo
Lakini sasa wamegeuka kuwa hatari kwa usalama wa raia idara za usalama zinatakiwa kufatilia
Iko hivi sasahivi mkinga akitaka eneo kariakoo atalichukua tu utake usitake
Kwanza anakufuata anakwambia anataka kuuziwa eneo lako.
Ukikataa utatekwa utapelekwa kusikojulikana utasainishwa mkataba na ndio utakuwa imeisha hiyo
Kinga tycoon ni hatari Sana wamewazidi mbali sana Kikuyu wa Kenya ambao ndio walikuwa ma tycoon hatari zaidi kusini mwa jangwa la Sahara!!
Sasa najiuliza idara zetu za usalama zimekubali watu wengine wasiwe na haki ya kuwa na maeneo kariakoo? Au ni planned?
Fanyeni research me nimeleta kwa sababu nime experience the consequences
Aise Hawa jamaa ni Mafia sijawai kuona!!
Lakini sasa wamegeuka kuwa hatari kwa usalama wa raia idara za usalama zinatakiwa kufatilia
Iko hivi sasahivi mkinga akitaka eneo kariakoo atalichukua tu utake usitake
Kwanza anakufuata anakwambia anataka kuuziwa eneo lako.
Ukikataa utatekwa utapelekwa kusikojulikana utasainishwa mkataba na ndio utakuwa imeisha hiyo
Kinga tycoon ni hatari Sana wamewazidi mbali sana Kikuyu wa Kenya ambao ndio walikuwa ma tycoon hatari zaidi kusini mwa jangwa la Sahara!!
Sasa najiuliza idara zetu za usalama zimekubali watu wengine wasiwe na haki ya kuwa na maeneo kariakoo? Au ni planned?
Fanyeni research me nimeleta kwa sababu nime experience the consequences
Aise Hawa jamaa ni Mafia sijawai kuona!!