MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,410
- 8,184
Huu ni uongo.
Process ya kuuza kiwanja kilichopimwa na serikali sio nyepesi kiasi cha mtu kutekwa na kusainishwa kibabe.
Hakuna kiwanja kigumu kukitapeli kama Kiwanja chenye ramani ya mipangomiji, site plan, plot number na block name.
Viwanja vya kariakoo vyote vina sifa hizo nilizotaja.. huwezi kuvitapeli
Process ya kuuza kiwanja kilichopimwa na serikali sio nyepesi kiasi cha mtu kutekwa na kusainishwa kibabe.
Hakuna kiwanja kigumu kukitapeli kama Kiwanja chenye ramani ya mipangomiji, site plan, plot number na block name.
Viwanja vya kariakoo vyote vina sifa hizo nilizotaja.. huwezi kuvitapeli