Wakishinda huko Levi Mwanawasa Mjini Ndola ' Weekend ' hii nitaogelea kutoka Dar es Salaam hadi Zanzibar au Najinyonga kabisa!

Ubavu wa hizo ahadi zao huwa hawana wanaishiaga kukimbia tu Shem.
Kuna yule aliye bet mke wake kwamba achukuliwe na jamaa wa Simba ikiwa Chura watafungwa na Lunyasi, kwa mashangao mkubwa jamaa hakutimiza ahadi yake pamoja na kwamba Chura FC walipakatwa na Wekundu wa Msimbazi
 
simba tunacomment wapi😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Kapumbu anapumbua kwenye Manula alivyomanuliwa na libolo
 
Weka tundu la kutolea ugali negative tukutie mimba halafu huyo mumeo unaemshobokea nae anajazwa
 
M b u m b u m b u
Huyu jamaa wiki hii anateseka sana.Kagera ana hamu na ww balaa.
Kagera wanahamu na wewe mnoooo
mikia FC aka GENTA.
Au ujinyeee kabisa pale Serena hotel au posta mpya.
Chagua tukuzike wapi?
Huyu jamaa anateseka sana. Na bado utaendelea kuteseka hadi ujifie tu usipoacha roho yako us husuda.
pumba tupu, foolish.
Ama kweli Kagera walikua na hamu na sisi
 
Ndio harusi ishafungwa. 0-3 kweli hawa mbumbu fc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…