Wakishinda huko Levi Mwanawasa Mjini Ndola ' Weekend ' hii nitaogelea kutoka Dar es Salaam hadi Zanzibar au Najinyonga kabisa!

Tunamtaka huyo. Hata Mesi alikuwa hazuiliki, huyo tunamkabidhi Mharami Issa, kwisha hbr yake
 
Mimi nilijua Utakunya kutoka Ubungo mpaka Kariakoo.
 
Hongera maana mi nilikuwa naangalia mpira hapa maeneo ya feri nilikuwa nasubiri matokeo ya kuogelea ila ndio basi tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…