Wenje na Lema wote walienda Canada kukimbia ugaidi wa wapinzani enzi za Magufuli
Lema alienda tena akiwa na madeni mengi Tanzania aliweza kufanya online trading za forex na coins akapata pesa na maisha yake yakaenda vizuri. Aliendelea na harakati.
Wenje hakufanya lolote yaani alikuwa kama mtu anataka kujitambua. Tusishangae sana sasa anahogwa na mtoto wa Mama Abdul na kawa Chawa wa Mbowe
Lema alienda tena akiwa na madeni mengi Tanzania aliweza kufanya online trading za forex na coins akapata pesa na maisha yake yakaenda vizuri. Aliendelea na harakati.
Wenje hakufanya lolote yaani alikuwa kama mtu anataka kujitambua. Tusishangae sana sasa anahogwa na mtoto wa Mama Abdul na kawa Chawa wa Mbowe